Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Nov 15, 2020 08:30

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.

  • HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    Sep 22, 2020 22:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeupa utawala wa Kizayuni wa Israel muhula wa miezi miwili wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Picha za watawala wa Bahrain na Imarati zachomwa moto Ghaza, Palestina

    Picha za watawala wa Bahrain na Imarati zachomwa moto Ghaza, Palestina

    Sep 13, 2020 03:11

    Wakazi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina wamechoma moto picha za watawala wa Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutokana na nchi hizo mbili za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Shambulizi la anga la Israel laua shahidi Wapalestina 4 Gaza

    Shambulizi la anga la Israel laua shahidi Wapalestina 4 Gaza

    Aug 25, 2020 03:28

    Wapalestina wanne wameuawa shahidi baada ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa mabomu maeneo kadhaa ya Palestina huko mashariki mwa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jun 27, 2020 07:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza yatazidi kuufanya muqawama ushikilie msimamo wake wa kupinga njama za Israel za kuteka ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    May 10, 2020 19:53

    Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza

    Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza

    Feb 27, 2020 09:41

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Beytulahm (Bethlehem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kimeripoti kuwa, Wapelestina 21 katika Ukanda wa Gaza wamesababishiwa upofu na ufyatuaji risasi wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya miaka miwili iliyopita.

  • Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Jan 17, 2020 08:46

    Helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel imevurumisha makombora ambayo yamelenga vituo vya makundi ya wapigania ukombozi (wanamuqawama) wa Palestina katika eneo la mashariki mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Nov 22, 2019 23:08

    Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu za mashahidi wote wa Ukanda wa Ghaza

    Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu za mashahidi wote wa Ukanda wa Ghaza

    Nov 18, 2019 23:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo itaendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na italipigiza kisasi cha damu yote ya wananchi wa Palestina iliyomwagwa na Israel huko Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS