Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Utawala wa Kizayuni unazuia kuingizwa misaada ya kibinadamu huko Ghaza

    Utawala wa Kizayuni unazuia kuingizwa misaada ya kibinadamu huko Ghaza

    Jun 01, 2021 06:05

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametishia kushadidisha zaidi mashambulizi huko Ukanda wa Ghaza iwapo eti muqawama utaendeleza mashambulizi yake na kueleza kuwa, kuingizwa misaada ya aina yoyote huko Ghaza kunategemea na kurejeshwa miili ya wanajeshi waliouliwa wa Israel katika eneo hilo.

  • Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    Baada ya kudhalilishwa Gaza, Israel sasa yaitishia vita Lebanon

    May 27, 2021 03:20

    Baada ya kudhalilishwa na kushindwa vibaya na kambi ya muqawama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, utawala wa Kizayuni wa Israel sasa unatishia kuishambulia kijeshi Lebanon.

  • Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemalizika baada ya kusababisha hasara kubwa za kiuchumi hususan kwa utawala wa Kizayuni wa Israel wenyewe.

  • Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Waandiihi Habari huko Palestina amesema kuwa waandishi wa habari wanaokaribia 170 walijeruhiwa katika mashambulizi ya karibuni ya Israel na kwamba jumuiya hiyo itawasilisha mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusiana na suala hilo.

  • Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    May 21, 2021 07:44

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani wa Palestina amesema kuwa, mamlaka hiyo itaishitaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kwa jinai zake za kuua watoto wadogo na wanawake wa Wapalestina wasio na hatia.

  • Hatimaye vita vyasitishwa Gaza baada ya Israel kukubali mpango wa kusitisha vita

    Hatimaye vita vyasitishwa Gaza baada ya Israel kukubali mpango wa kusitisha vita

    May 20, 2021 23:24

    Baada ya siku 11 za hujuma na mashambulio ya kijeshi ya utawala vamizi wa Kizayuni wa Israel hatimaye utawala huo umeafiki mpango wa kusitisha vita.

  • Shambulio la kinyama la Israel laua mume mlemavu, mke mjamzito na binti wa miaka mitatu

    Shambulio la kinyama la Israel laua mume mlemavu, mke mjamzito na binti wa miaka mitatu

    May 20, 2021 23:06

    Shambulio la kinyama lililofanywa na ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa kulenga nyumba ya familia moja katika Ukanda wa Gaza, limewaua shahidi mume mtu ambaye ni mlemavu, mke wake mjamzito na mtoto wako wa kike mwenye umri wa miaka mitatu.

  • Utawala wa Kizayuni wabomoa kikamilifu misikiti mitatu Gaza

    Utawala wa Kizayuni wabomoa kikamilifu misikiti mitatu Gaza

    May 19, 2021 06:53

    Utawala wa Kizayuni wa Israel mbali na kufanya mauaji dhidi ya Wapalestina katika hujuma na mashambulio yake ya kinyama yanayoendelea, umebomoa kikamilifu misikiti mitatu katika Ukanda wa Gaza.

  • Wanamapambano wa Palestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni kwa siku ya nane

    Wanamapambano wa Palestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni kwa siku ya nane

    May 17, 2021 09:06

    Makundi ya muqawama ya Palestina leo Jumatatu yameendelea kujibu jinai za utawala wa Kizayuni kwa kuyatwangwa kwa makombora na maroketi maeneo mbalimbali ya walowezi wa Kizayuni kama vile al Asqakalan (Ashkelon) na kambi ya kijeshi ya Wazayuni ya Kissufim.

  • Badala ya kulaani jinai za Israel; Imarati ndio kwanza yatoa vitisho kwa Wapalestina

    Badala ya kulaani jinai za Israel; Imarati ndio kwanza yatoa vitisho kwa Wapalestina

    May 16, 2021 07:27

    Huku jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel zikizidi kuwa kubwa dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza, chombo kimoja cha habari cha utawala wa Kizayuni kimefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umeonesha uungaji mkono wake kwa jinai hizo za Wazayuni kupitia kutoa vitisho vipya dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS