Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Nov 13, 2019 23:13

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne na kwa siku ya pili mfufulizo zilitekeleza mashambulizi ya anga zaidi ya 50 katika Ukanda wa Gaza, na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.

  • Wanamuqawama wa Palestina wajibu mapigo baada ya Israel kumuua shahidi kamanda wa Jihad Islami

    Wanamuqawama wa Palestina wajibu mapigo baada ya Israel kumuua shahidi kamanda wa Jihad Islami

    Nov 12, 2019 04:37

    Wanamuqawama wa Palestina wametoa jibu kali baada ya jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kumuua shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihadul-Islam ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Nov 02, 2019 08:55

    Mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel yamepelekea kuuawa shahidi raia mmoja wa Palestina na kujeruhiwa wengine wawili.

  • Askari wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea'

    Askari wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea'

    Oct 05, 2019 03:22

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi Mpalestina ambaye alikuwa anashiriki katika Ijumaa ya 77 ya 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza. Wapalestina wengine 40 wamejeruhiwa wakati wanajeshi hao wa utawala wa Kizayuni waliposhambulia maandamano hayo ya amani.

  • Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Aug 17, 2019 03:32

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wahofia kufanya kazi katika mipaka ya Ghaza

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wahofia kufanya kazi katika mipaka ya Ghaza

    Aug 02, 2019 20:55

    Redio ya jeshi la utawala wa Kizayuni imesisitiza kuwa wanajeshi wa utawala huo hawana hamu ya kuhudumu katika mipaka ya Ukanda wa Ghaza na wanafadhilisha kufanya kazi katika maeneo mengine.

  • B'Tselem: Jeshi la Israel huwaua kwa makusudi Wapalestina wanaoandamana Ghaza

    B'Tselem: Jeshi la Israel huwaua kwa makusudi Wapalestina wanaoandamana Ghaza

    Jul 28, 2019 03:04

    Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kimeripoti kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni huwaua kwa makusudi na bila ya sababu raia wa Palestina wanaondamana katika maandamano yao ya amani ya haki ya kurejea katika mipaka ya Ghaza.

  • Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Jul 23, 2019 23:26

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.

  • Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya  'Haki ya Kurejea'

    Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea'

    Jun 22, 2019 02:47

    Wizara ya Afya ya Palestina imesema Wapalestina 79 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 63 ya maandamano makubwa ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza.

  • Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Jun 13, 2019 07:25

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewalenga Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza mapema leo Alhamisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS