Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    May 16, 2021 02:13

    Sambamba na mashambulizi makali na ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya makazi ya raia wa Ukanda wa Gaza, na mauaji ya raia katika eneo hilo, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umeshindwa kuchukua hatua ya maana ya kusimamisha mashambulizi hayo au hata kulaani kwa maneno hujuma na ukatili huo wa Israel.

  • UN yakiri ukatili wa Israel umewawekea katika hali mbaya wananchi wa Ghaza Palestina

    UN yakiri ukatili wa Israel umewawekea katika hali mbaya wananchi wa Ghaza Palestina

    May 15, 2021 02:58

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea kusikitishwa na jinai za utawala wa Kizayuni zilizopelekea kupatikana kwa shida maji ya kunywa kutokana na kukatika umeme kwa muda mrefu.

  • Hania awataka Waislamu, watu huru duniani kutetea Msikiti wa al Aqsa

    Hania awataka Waislamu, watu huru duniani kutetea Msikiti wa al Aqsa

    May 14, 2021 04:28

    Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameutaka Umma wa Kiislamu na Kiarabu kufanya maandamano na mikutano ya kutetea na kuunga mkono Msikiti wa al Aqsa na watu wa Palestina.

  • Israel yaendeleza hujuma Ghaza, Wapalestina 109 wameuawa shahidi

    Israel yaendeleza hujuma Ghaza, Wapalestina 109 wameuawa shahidi

    May 14, 2021 01:22

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza hujuma ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Alhamisi usiku ikiwa ni muendelezo wa jinai zake dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika eneo hilo. Wapalestina zaidi ya 109 wanaripotiowa kuuawa shahidi katika uvamizi wa Israel dhidi ya Ghaza katika kipindi cha siku chache zilizopita. Taarifa zinasema askari wa Kizayuni sasa wanatekeleza uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Ghaza

  • Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza

    Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza

    Mar 18, 2021 05:10

    Wanamuqawama wa Palestina wamefanikiwa kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza

    Nov 15, 2020 08:30

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.

  • HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza

    Sep 22, 2020 22:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeupa utawala wa Kizayuni wa Israel muhula wa miezi miwili wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Picha za watawala wa Bahrain na Imarati zachomwa moto Ghaza, Palestina

    Picha za watawala wa Bahrain na Imarati zachomwa moto Ghaza, Palestina

    Sep 13, 2020 03:11

    Wakazi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina wamechoma moto picha za watawala wa Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutokana na nchi hizo mbili za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Shambulizi la anga la Israel laua shahidi Wapalestina 4 Gaza

    Shambulizi la anga la Israel laua shahidi Wapalestina 4 Gaza

    Aug 25, 2020 03:28

    Wapalestina wanne wameuawa shahidi baada ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa mabomu maeneo kadhaa ya Palestina huko mashariki mwa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jun 27, 2020 07:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza yatazidi kuufanya muqawama ushikilie msimamo wake wa kupinga njama za Israel za kuteka ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS