-
Israel yaendeleza hujuma Ghaza, Wapalestina 109 wameuawa shahidi
May 14, 2021 01:22Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza hujuma ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Alhamisi usiku ikiwa ni muendelezo wa jinai zake dhidi ya Wapalestina wanaoishi katika eneo hilo. Wapalestina zaidi ya 109 wanaripotiowa kuuawa shahidi katika uvamizi wa Israel dhidi ya Ghaza katika kipindi cha siku chache zilizopita. Taarifa zinasema askari wa Kizayuni sasa wanatekeleza uvamizi wa nchi kavu dhidi ya Ghaza
-
Wanamuqawama watungua 'drone' ya kijasusi ya Israel huko Gaza
Mar 18, 2021 05:10Wanamuqawama wa Palestina wamefanikiwa kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Ndege za kivita za Israel zashambulia kwa mabomu Ukanda wa Gaza
Nov 15, 2020 08:30Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimeshambulia ngome za Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza mapema leo Jumapili.
-
HAMAS yaipa Israel miezi 2 ihitimishe mzingiro wa Gaza
Sep 22, 2020 22:05Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeupa utawala wa Kizayuni wa Israel muhula wa miezi miwili wa kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Picha za watawala wa Bahrain na Imarati zachomwa moto Ghaza, Palestina
Sep 13, 2020 03:11Wakazi wa Ukanda wa Ghaza huko Palestina wamechoma moto picha za watawala wa Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutokana na nchi hizo mbili za Kiarabu kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Shambulizi la anga la Israel laua shahidi Wapalestina 4 Gaza
Aug 25, 2020 03:28Wapalestina wanne wameuawa shahidi baada ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel kushambulia kwa mabomu maeneo kadhaa ya Palestina huko mashariki mwa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 27, 2020 07:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza yatazidi kuufanya muqawama ushikilie msimamo wake wa kupinga njama za Israel za kuteka ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza
May 10, 2020 19:53Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.
-
Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza
Feb 27, 2020 09:41Kituo cha Haki za Binadamu cha Beytulahm (Bethlehem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kimeripoti kuwa, Wapelestina 21 katika Ukanda wa Gaza wamesababishiwa upofu na ufyatuaji risasi wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya miaka miwili iliyopita.
-
Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
Jan 17, 2020 08:46Helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel imevurumisha makombora ambayo yamelenga vituo vya makundi ya wapigania ukombozi (wanamuqawama) wa Palestina katika eneo la mashariki mwa Ukanda wa Ghaza.