Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    May 10, 2020 19:53

    Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza

    Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza

    Feb 27, 2020 09:41

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Beytulahm (Bethlehem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kimeripoti kuwa, Wapelestina 21 katika Ukanda wa Gaza wamesababishiwa upofu na ufyatuaji risasi wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya miaka miwili iliyopita.

  • Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Jan 17, 2020 08:46

    Helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel imevurumisha makombora ambayo yamelenga vituo vya makundi ya wapigania ukombozi (wanamuqawama) wa Palestina katika eneo la mashariki mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza

    Nov 22, 2019 23:08

    Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu za mashahidi wote wa Ukanda wa Ghaza

    Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu za mashahidi wote wa Ukanda wa Ghaza

    Nov 18, 2019 23:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo itaendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na italipigiza kisasi cha damu yote ya wananchi wa Palestina iliyomwagwa na Israel huko Ghaza.

  • Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Nov 13, 2019 23:13

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne na kwa siku ya pili mfufulizo zilitekeleza mashambulizi ya anga zaidi ya 50 katika Ukanda wa Gaza, na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.

  • Wanamuqawama wa Palestina wajibu mapigo baada ya Israel kumuua shahidi kamanda wa Jihad Islami

    Wanamuqawama wa Palestina wajibu mapigo baada ya Israel kumuua shahidi kamanda wa Jihad Islami

    Nov 12, 2019 04:37

    Wanamuqawama wa Palestina wametoa jibu kali baada ya jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kumuua shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihadul-Islam ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Nov 02, 2019 08:55

    Mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel yamepelekea kuuawa shahidi raia mmoja wa Palestina na kujeruhiwa wengine wawili.

  • Askari wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea'

    Askari wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea'

    Oct 05, 2019 03:22

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi Mpalestina ambaye alikuwa anashiriki katika Ijumaa ya 77 ya 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza. Wapalestina wengine 40 wamejeruhiwa wakati wanajeshi hao wa utawala wa Kizayuni waliposhambulia maandamano hayo ya amani.

  • Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Aug 17, 2019 03:32

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS