Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni

    Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni

    May 14, 2019 22:55

    Zaidi ya Wapalestina milioni moja katika Ukanda wa Ghaza, yaani takribani nusu milioni ya wakazi wa eneo hilo, huenda wasiwe na chakula ifikapo mwezi Juni mwaka huu.

  • Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    May 13, 2019 09:57

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kuushambulia Ukanda wa Ghaza ni kutaka kuwasahaulisha walimwengu jinai zake na umuhimu wa mji mtakatifu wa Quds.

  • Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    May 12, 2019 02:24

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.

  • Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    May 05, 2019 09:14

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni Israel vimeripoti kwamba jumla ya raia watano wa utawala huo wameangamizwa katika mashambulio ya makombora ya Wapalestina kuelekea vitongoji vya walowezi ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    May 05, 2019 03:07

    Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.

  • Maandamano ya 25 ya baharini ya kuondoa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza kufanyika leo

    Maandamano ya 25 ya baharini ya kuondoa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza kufanyika leo

    Mar 05, 2019 04:30

    Kamati ya Uchunguzi wa Kitaifa ya kuondoa mzingiro liliowekewa eneo la Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, maandamano ya 25 ya baharini ya kushinikiza kuondolewa mzingiro huo yatafanyika leo katika eneo la maji ya ukanda huo.

  • Ismail Haniya: Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan havitatengana

    Ismail Haniya: Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan havitatengana

    Feb 13, 2019 23:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, eneo la Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hayatatengana na kwamba, Hamas haitaruhusu Isreal ikwepe majukumu na dhima yake kuhusiana na Gaza.

  • Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Feb 09, 2019 04:17

    Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.

  • Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Jan 19, 2019 08:31

    Siku ya Gaza ambayo ni nembo ya kuwaunga mkono wakazi wa eneo la Gaza huko Palestina wanaokabiliwa na mzingiro imewadia katika hali ambayo, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Palestina imeshuhudia kuongezeka harakati za wananchi zenye lengo la kuuvunja mzingiro wa Gaza.

  • Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Jan 12, 2019 23:29

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza habari ya kuanzishwa kivuko cha kibiashara katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS