-
Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza
May 10, 2020 19:53Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.
-
Risasi za jeshi la Israel zawapofusha Wapalestina 21 Ukanda wa Gaza
Feb 27, 2020 09:41Kituo cha Haki za Binadamu cha Beytulahm (Bethlehem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kimeripoti kuwa, Wapelestina 21 katika Ukanda wa Gaza wamesababishiwa upofu na ufyatuaji risasi wa jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya miaka miwili iliyopita.
-
Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
Jan 17, 2020 08:46Helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel imevurumisha makombora ambayo yamelenga vituo vya makundi ya wapigania ukombozi (wanamuqawama) wa Palestina katika eneo la mashariki mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Wanaharakati waandamana Chicago, Marekani kulaani hujuma za Israel, Gaza
Nov 22, 2019 23:08Makumi ya wanaharakati wamefanya maandamano katika mji wa Chicago jimboni Illinois nchini Marekani, kulaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa hivi karibuni na ndege za jeshi katili la Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Tutalipiza kisasi cha damu za mashahidi wote wa Ukanda wa Ghaza
Nov 18, 2019 23:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa harakati hiyo itaendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na italipigiza kisasi cha damu yote ya wananchi wa Palestina iliyomwagwa na Israel huko Ghaza.
-
Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza
Nov 13, 2019 23:13Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne na kwa siku ya pili mfufulizo zilitekeleza mashambulizi ya anga zaidi ya 50 katika Ukanda wa Gaza, na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.
-
Wanamuqawama wa Palestina wajibu mapigo baada ya Israel kumuua shahidi kamanda wa Jihad Islami
Nov 12, 2019 04:37Wanamuqawama wa Palestina wametoa jibu kali baada ya jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kumuua shahidi kamanda wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihadul-Islam ya Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza
Nov 02, 2019 08:55Mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel yamepelekea kuuawa shahidi raia mmoja wa Palestina na kujeruhiwa wengine wawili.
-
Askari wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea'
Oct 05, 2019 03:22Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahidi Mpalestina ambaye alikuwa anashiriki katika Ijumaa ya 77 ya 'Maandamano Makubwa ya Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza. Wapalestina wengine 40 wamejeruhiwa wakati wanajeshi hao wa utawala wa Kizayuni waliposhambulia maandamano hayo ya amani.
-
Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi
Aug 17, 2019 03:32Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.