-
Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni
May 14, 2019 22:55Zaidi ya Wapalestina milioni moja katika Ukanda wa Ghaza, yaani takribani nusu milioni ya wakazi wa eneo hilo, huenda wasiwe na chakula ifikapo mwezi Juni mwaka huu.
-
Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds
May 13, 2019 09:57Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kuushambulia Ukanda wa Ghaza ni kutaka kuwasahaulisha walimwengu jinai zake na umuhimu wa mji mtakatifu wa Quds.
-
Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel
May 12, 2019 02:24Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.
-
Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina
May 05, 2019 09:14Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni Israel vimeripoti kwamba jumla ya raia watano wa utawala huo wameangamizwa katika mashambulio ya makombora ya Wapalestina kuelekea vitongoji vya walowezi ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza
May 05, 2019 03:07Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.
-
Maandamano ya 25 ya baharini ya kuondoa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza kufanyika leo
Mar 05, 2019 04:30Kamati ya Uchunguzi wa Kitaifa ya kuondoa mzingiro liliowekewa eneo la Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, maandamano ya 25 ya baharini ya kushinikiza kuondolewa mzingiro huo yatafanyika leo katika eneo la maji ya ukanda huo.
-
Ismail Haniya: Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan havitatengana
Feb 13, 2019 23:12Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, eneo la Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hayatatengana na kwamba, Hamas haitaruhusu Isreal ikwepe majukumu na dhima yake kuhusiana na Gaza.
-
Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza
Feb 09, 2019 04:17Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.
-
Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina
Jan 19, 2019 08:31Siku ya Gaza ambayo ni nembo ya kuwaunga mkono wakazi wa eneo la Gaza huko Palestina wanaokabiliwa na mzingiro imewadia katika hali ambayo, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Palestina imeshuhudia kuongezeka harakati za wananchi zenye lengo la kuuvunja mzingiro wa Gaza.
-
Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza
Jan 12, 2019 23:29Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza habari ya kuanzishwa kivuko cha kibiashara katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na Misri.