Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Jan 11, 2019 23:24

    Katika kile kinachoonekana ni kushadidisha ukatili dhidi ya Wapalestina, utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kunyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya kilimo ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Dec 05, 2018 03:41

    Waziri wa Vita aliyejiuzulu wa Israel amekiri kwamba, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mashinikizo makubwa kwa utawala huo kupitia maandamano yanayofanywa kila siku ya Ijumaa na raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Al-Ahram: Muqawama wa Gaza umeiweka Israel katika fedheha na kushindwa

    Al-Ahram: Muqawama wa Gaza umeiweka Israel katika fedheha na kushindwa

    Nov 20, 2018 23:10

    Gazeti la Al-Ahram la nchini Misri limeandika kwamba, kurudi nyuma utawala haramu wa Kizayuni katika kukabiliana na muqawama wa eneo la Gaza, Palestina sasa kumeuweka utawala huo katika hali ya fedheha na kushindwa kijeshi.

  • UN yalaani jinai mpya za Wazayuni Palestina

    UN yalaani jinai mpya za Wazayuni Palestina

    Oct 30, 2018 01:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuwaua watoto wa Palestina hakikubaliki kabisa.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Oct 27, 2018 02:22

    Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas: Baadhi ya nchi za Kiarabu zinaichochea Israel iishambulie Gaza

    Hamas: Baadhi ya nchi za Kiarabu zinaichochea Israel iishambulie Gaza

    Sep 30, 2018 23:09

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametahadharisha kuwa baadhi ya nchi za Kiarabu zinaushawishi utawala wa Kizayuni utekeleze mashambulizi huko Ghaza.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Sep 29, 2018 04:43

    Kwa akali Wapalestina saba wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 500 wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • UN: Ghaza inakaribia kusambaratika kikamilifu, Israel inaendelea kukaidi maamuzi ya kimataifa

    UN: Ghaza inakaribia kusambaratika kikamilifu, Israel inaendelea kukaidi maamuzi ya kimataifa

    Sep 21, 2018 09:36

    Mratibu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati amekiambia kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kwamba eneo la Ukanda wa Ghaza huko Palestina linakaribia kusambaratika kikamilifu.

  • Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza

    Wapalestina 2 wauawa shahidi kwa kombora la Israel, Gaza

    Sep 18, 2018 02:40

    Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa ukatili na jinai, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Gaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.

  • UN yaelezea kusikitishwa na hali mbaya ya Ukanda wa Ghaza

    UN yaelezea kusikitishwa na hali mbaya ya Ukanda wa Ghaza

    Sep 16, 2018 21:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya maendeleo na biashara ametoa ripoti maalumu kuhusu maafa ya kibinadamu ya Ukanda wa Ghaza na kuongezeka kupindukia idadi ya Wapalestina wasio na kazi akisema kuwa hali hiyo inasikitisha sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS