-
Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wahofia kufanya kazi katika mipaka ya Ghaza
Aug 02, 2019 20:55Redio ya jeshi la utawala wa Kizayuni imesisitiza kuwa wanajeshi wa utawala huo hawana hamu ya kuhudumu katika mipaka ya Ukanda wa Ghaza na wanafadhilisha kufanya kazi katika maeneo mengine.
-
B'Tselem: Jeshi la Israel huwaua kwa makusudi Wapalestina wanaoandamana Ghaza
Jul 28, 2019 03:04Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kimeripoti kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni huwaua kwa makusudi na bila ya sababu raia wa Palestina wanaondamana katika maandamano yao ya amani ya haki ya kurejea katika mipaka ya Ghaza.
-
Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel
Jul 23, 2019 23:26Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.
-
Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea'
Jun 22, 2019 02:47Wizara ya Afya ya Palestina imesema Wapalestina 79 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 63 ya maandamano makubwa ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza.
-
Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza
Jun 13, 2019 07:25Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewalenga Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza mapema leo Alhamisi.
-
Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni
May 14, 2019 22:55Zaidi ya Wapalestina milioni moja katika Ukanda wa Ghaza, yaani takribani nusu milioni ya wakazi wa eneo hilo, huenda wasiwe na chakula ifikapo mwezi Juni mwaka huu.
-
Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds
May 13, 2019 09:57Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kuushambulia Ukanda wa Ghaza ni kutaka kuwasahaulisha walimwengu jinai zake na umuhimu wa mji mtakatifu wa Quds.
-
Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel
May 12, 2019 02:24Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.
-
Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina
May 05, 2019 09:14Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni Israel vimeripoti kwamba jumla ya raia watano wa utawala huo wameangamizwa katika mashambulio ya makombora ya Wapalestina kuelekea vitongoji vya walowezi ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza
May 05, 2019 03:07Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.