Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wahofia kufanya kazi katika mipaka ya Ghaza

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wahofia kufanya kazi katika mipaka ya Ghaza

    Aug 02, 2019 20:55

    Redio ya jeshi la utawala wa Kizayuni imesisitiza kuwa wanajeshi wa utawala huo hawana hamu ya kuhudumu katika mipaka ya Ukanda wa Ghaza na wanafadhilisha kufanya kazi katika maeneo mengine.

  • B'Tselem: Jeshi la Israel huwaua kwa makusudi Wapalestina wanaoandamana Ghaza

    B'Tselem: Jeshi la Israel huwaua kwa makusudi Wapalestina wanaoandamana Ghaza

    Jul 28, 2019 03:04

    Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kimeripoti kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni huwaua kwa makusudi na bila ya sababu raia wa Palestina wanaondamana katika maandamano yao ya amani ya haki ya kurejea katika mipaka ya Ghaza.

  • Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Kubomolewa nyumba za Wapalestina baada ya vita; jinai zisizo na kikomo za Israel

    Jul 23, 2019 23:26

    Utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa katika vita vilivyodumu kwa muda wa siku mbili tu, hivi sasa umeanzisha duru mpya ya jinai zake dhidi ya Wapalestina kwa kubomoa nyumba za wananchi hao madhulumu.

  • Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya  'Haki ya Kurejea'

    Wapalestina 79 wajeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea'

    Jun 22, 2019 02:47

    Wizara ya Afya ya Palestina imesema Wapalestina 79 wamejeruhiwa katika Ijumaa ya 63 ya maandamano makubwa ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Ghaza.

  • Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni zashambulia Ukanda wa Ghaza

    Jun 13, 2019 07:25

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewalenga Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza mapema leo Alhamisi.

  • Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni

    Zaidi ya Wapalestina milioni moja Ghaza kukosa chakula ifikapo Juni

    May 14, 2019 22:55

    Zaidi ya Wapalestina milioni moja katika Ukanda wa Ghaza, yaani takribani nusu milioni ya wakazi wa eneo hilo, huenda wasiwe na chakula ifikapo mwezi Juni mwaka huu.

  • Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    Mohammad Shtayyeh: Israel inataka kuwasahaulisha walimwengu umuhimu wa Quds

    May 13, 2019 09:57

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kuushambulia Ukanda wa Ghaza ni kutaka kuwasahaulisha walimwengu jinai zake na umuhimu wa mji mtakatifu wa Quds.

  • Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    Uturuki: Tawi la shirika letu la habari Gaza limehujumiwa kwa kufichua maovu ya Israel

    May 12, 2019 02:24

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema ofisi ya shirika la habari la nchi hiyo la Anadolu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu imeshambuliwa na jeshi la utawala haramu wa Israel kwa kufichua 'kazi chafu' na maovu ya utawala huo.

  • Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    Kwa akali walowezi watano wa Kizayuni wameangamizwa katika jibu kali la makombora ya wanamuqawama wa Palestina

    May 05, 2019 09:14

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni Israel vimeripoti kwamba jumla ya raia watano wa utawala huo wameangamizwa katika mashambulio ya makombora ya Wapalestina kuelekea vitongoji vya walowezi ndani ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    Wamagharibi wakasirishwa na uwezo wa kujihami Wapalestina; Uturuki yailaani Israel kwa kushambulia ofisi yake Ghaza

    May 05, 2019 03:07

    Serikali ya Marekani imefumbia macho jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina na badala yake imelaani mashambulizi ya kujihami kwa makombora yanayofanywa na wanamapambano wa Kiislamu huko Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS