Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Maandamano ya 25 ya baharini ya kuondoa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza kufanyika leo

    Maandamano ya 25 ya baharini ya kuondoa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza kufanyika leo

    Mar 05, 2019 04:30

    Kamati ya Uchunguzi wa Kitaifa ya kuondoa mzingiro liliowekewa eneo la Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa, maandamano ya 25 ya baharini ya kushinikiza kuondolewa mzingiro huo yatafanyika leo katika eneo la maji ya ukanda huo.

  • Ismail Haniya: Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan havitatengana

    Ismail Haniya: Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan havitatengana

    Feb 13, 2019 23:12

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, eneo la Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hayatatengana na kwamba, Hamas haitaruhusu Isreal ikwepe majukumu na dhima yake kuhusiana na Gaza.

  • Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Feb 09, 2019 04:17

    Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.

  • Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina

    Jan 19, 2019 08:31

    Siku ya Gaza ambayo ni nembo ya kuwaunga mkono wakazi wa eneo la Gaza huko Palestina wanaokabiliwa na mzingiro imewadia katika hali ambayo, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Palestina imeshuhudia kuongezeka harakati za wananchi zenye lengo la kuuvunja mzingiro wa Gaza.

  • Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Misri kuanzisha kivuko cha kibiashara kati yake na Ghaza

    Jan 12, 2019 23:29

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametangaza habari ya kuanzishwa kivuko cha kibiashara katika mpaka wa Ukanda wa Ghaza na Misri.

  • Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Jan 11, 2019 23:24

    Katika kile kinachoonekana ni kushadidisha ukatili dhidi ya Wapalestina, utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kunyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya kilimo ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Lieberman akiri, maandamano ya Haki ya Kurejea yametoa pigo kwa Israel

    Dec 05, 2018 03:41

    Waziri wa Vita aliyejiuzulu wa Israel amekiri kwamba, Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mashinikizo makubwa kwa utawala huo kupitia maandamano yanayofanywa kila siku ya Ijumaa na raia wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Al-Ahram: Muqawama wa Gaza umeiweka Israel katika fedheha na kushindwa

    Al-Ahram: Muqawama wa Gaza umeiweka Israel katika fedheha na kushindwa

    Nov 20, 2018 23:10

    Gazeti la Al-Ahram la nchini Misri limeandika kwamba, kurudi nyuma utawala haramu wa Kizayuni katika kukabiliana na muqawama wa eneo la Gaza, Palestina sasa kumeuweka utawala huo katika hali ya fedheha na kushindwa kijeshi.

  • UN yalaani jinai mpya za Wazayuni Palestina

    UN yalaani jinai mpya za Wazayuni Palestina

    Oct 30, 2018 01:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuwaua watoto wa Palestina hakikubaliki kabisa.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Oct 27, 2018 02:22

    Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS