-
Jitihada za Hamas za kuhitimisha mzingiro Ukanda wa Ghaza
Sep 16, 2018 03:03Afisa anayehusika na masuala ya uhusiano wa kimataifa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa harakati hiyo inafanya jitihada maalumu ili kuhitimisha mzingiro na kuifanya tulivu hali ya mambo huko Ghaza na kwamba hakuna upande unaoweza kupinga au kukabiliana na mchakato huo.
-
UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel
Sep 14, 2018 02:23Ukanda wa Ghaza umegeuka kuwa janga la kibinadamu lililogubikwa na madhila na utegemezi wa misaada kila uchao kutokana na mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi hiyo ya Palestina.
-
Wazayuni wachochea vita zaidi dhidi ya Wapalestina
Aug 09, 2018 23:20Licha ya kuweko onyo la kimataifa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu jinai zake dhidi ya Wapalestina, baraza la mawaziri la utawala huo dhalimu jana usiku liliitisha kikao maalumu na kutaka mashambulizi dhidi ya wananchi wa Ghaza yaendelee.
-
HAMAS: Hatuko tayari kulipa gharama yoyote ya kisiasa ili kuondolewa mzingiro dhidi ya Gaza
Aug 09, 2018 03:28Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, harakati hiyo haiko tayari kulipa gharama yoyote ile ya kisiasa mkabala na kuondolewa mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel wa zaidi ya miaka 12 dhidi ya Ukanda wa wa Gaza.
-
Israel yaizuia boti ya pili ya shehena ya misaada iliyokuwa ikielekea Gaza
Aug 04, 2018 10:46Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wameizuia boti ya pili iliyokuwa imebeba shehena ya misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Wapalestina wa eneo la Ukanda wa Gaza lililozingirwa na utawala huo.
-
Vita vya fueli vya Israel dhidi ya Gaza katikati ya msimu wa joto kali
Aug 03, 2018 02:33Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliamuru jeshi la utawala huo lizuie kupelekwa fueli eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Mwakilishi wa Kudumu wa Sweden UN: Hali ya mambo Ukanda wa Ghaza ni hatari
Jul 31, 2018 23:40Mwakilishi wa Kudumu wa Sweden katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa hali ya mambo katika eneo la Ukanda wa Ghaza ni ya hatari.
-
Wanaharakati wa meli ya kuvunja mzingiro wa Ghaza waendelea kushikiliwa na Israel
Jul 31, 2018 03:39Kamati ya Kimataifa ya kuvunja mzingiro wa Ghaza imetangaza kuwa wanaharakati 20 wa kimataifa waliopo katika meli ya "Kurejea" ambayo Ijumaa iliyopita ilielekea Ukanda wa Ghaza kwa lengo la kuondoa mzingiro wa baharini katika eneo hilo wanaendelea kushikiliwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Gaza na vita vingine vya majira ya joto kali?
Jul 27, 2018 22:13Harakati za kichokozi za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza ambazo zimekabiliwa na utayarifu mkubwa wa wapiganaji wa Batalioni ya Izzuddin Qassam, zimezidisha uwezekano wa kuanza vita vingine katika eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Jeshi la Israel lashambulia Gaza, Wapalestina 3 wauawa shahidi
Jul 26, 2018 02:43Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi katika wimbi jipya la mashambulizi ya angani na nchi kavu ya jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya makazi ya raia katika Ukanda wa Gaza.