Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    Jul 22, 2018 03:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameutaka utawala haramu wa Israel usitishe uchokozi wake katika Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas yaionya vikali Israel juu ya mzingiro wa Gaza

    Hamas yaionya vikali Israel juu ya mzingiro wa Gaza

    Jul 17, 2018 02:47

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kuzidisha mzingiro katika Ukanda wa Gaza.

  • Umoja wa Mataifa wataka kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa wataka kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Jul 16, 2018 03:11

    Mratibu Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati ametoa wito wa kuhitimishwa mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Msemaji wa shirika la UNRWA: Ghaza imekuwa jela kubwa

    Msemaji wa shirika la UNRWA: Ghaza imekuwa jela kubwa

    Jul 15, 2018 09:15

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA) amesema kuwa eneo la Ukanda wa Ghaza limegeuka na kuwa jela kubwa isiyo na uthabiti na kwamba wakazi wa eneo hilo hawana cha kupoteza.

  • Israel yawadondoshea mabomu Wapalestina wa Gaza

    Israel yawadondoshea mabomu Wapalestina wa Gaza

    Jul 14, 2018 03:24

    Kwa mara nyingine tena ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimewadondoshea mabomu Wapalestina kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Haaretz: Ni Israel ndiyo iliyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza

    Haaretz: Ni Israel ndiyo iliyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza

    Jun 17, 2018 10:32

    Gazeti la utawala wa Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, Israel ndiyo iliiyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza kutokana na mashambulizi yake ya mara kwa mara kwenye maeneo muhimu ya kiuchumi ya Wapalestina ikiwa ni pamoja na zana za uvuvi za wananchi hao wa Ghaza.

  • Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

    Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

    Jun 14, 2018 23:50

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika fremu ya kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina, limepitisha kwa wingi wa kura azimio la kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa utaratibu huo, Marekani, kwa mara nyingine tena, imepata pigo na kugonga mwamba katika jitihada zake za kulaani Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu undumakuwili wa nchi za Magharibi

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu undumakuwili wa nchi za Magharibi

    Jun 11, 2018 06:07

    Ayatullahil Udhma Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumapili katika mkutano wake na mamia ya wahadhiri wa vyuo vikuu na wasomi kutoka taasisi mbali mbali za utafiti nchini alibainisha nafasi ya juu ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kimataifa.

  • Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Jun 09, 2018 03:18

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa Baraza Kuu la umoja huo kukumbatia azimio linalotaka kuchunguzwa jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Baraza la Usalama la UN: Haiwezekani kuupuuza mzingiro wa miaka 10 dhidi ya Gaza

    Baraza la Usalama la UN: Haiwezekani kuupuuza mzingiro wa miaka 10 dhidi ya Gaza

    May 31, 2018 03:01

    Wawakilishi wa nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamesema muongo mzima wa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni ni mambo ambayo hayawezi kupuuzwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS