Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Israel yawakamata wanaharakati na boti zao Ukanda wa Ghaza

    Israel yawakamata wanaharakati na boti zao Ukanda wa Ghaza

    May 30, 2018 03:06

    Vikosi vya baharini vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana vimeusimamisha msafara wa boti za wanaharakati wa Kipalestina waliokuwa na nia ya kuvunja mzingiro wa kidhalimu wa miaka 11 katika Ukanda wa Ghaza.

  • Utawala wa Kizayuni wa Israel wahujumu Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa Kizayuni wa Israel wahujumu Ukanda wa Ghaza

    May 29, 2018 09:36

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel leo zimetekeleza mashambulizi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    May 27, 2018 09:13

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi kufuatia shambulizi la kifaru cha utawala wa Kizayuni wa Israel mashariki mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    May 26, 2018 03:18

    Kijana mmoja wa Palestina ameuawa shahidi huku watu wengine 109 wakijeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika jana Ijumaa katika Ukanda wa Gaza.

  • Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    Wapalestina 3 waaga dunia kutokana na majeraha ya risasi za Israel

    May 19, 2018 23:34

    Wapalestina watatu waliojeruhiwa vibaya na risasi za jeshi katili la Israel katika Ukanda wa Gaza wiki iliyopita wamefariki dunia.

  • Israel yapinga kuundwa kamati ya kimataifa ya kuchunguza jinai za Gaza

    Israel yapinga kuundwa kamati ya kimataifa ya kuchunguza jinai za Gaza

    May 19, 2018 21:53

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya utawala haramu wa Israel imepinga vikali uamuzi wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wa kutaka wachunguzi wa kimataifa wa jinai za vita wapelekwe haraka Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa Israel.

  • UNHRC lapitisha azimio la kutumwa haraka Gaza timu ya wachunguzi wa jinai za vita

    UNHRC lapitisha azimio la kutumwa haraka Gaza timu ya wachunguzi wa jinai za vita

    May 19, 2018 03:41

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limepiga kura ya kutaka wachunguzi wa kimataifa wa jinai za vita wapelekwe haraka Ukanda wa Gaza, Palestina inayokaliwa kwa mabavu kufanya uchunguzi kuhusu mauaji ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa Israel.

  • Misri yafungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Ramadhani

    Misri yafungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Ramadhani

    May 18, 2018 23:44

    Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel

    Mkuu wa haki za binadamu wa UN ataka kuchunguzwa jinai za kivita za Israel

    May 18, 2018 09:30

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanywa uchunguzi huru juu ya mauaji ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Ghaza yaliyofanywa hivi karibuni na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni.

  • Israel yakasirishwa na taarifa ya Baraza la Haki za Binadamu kuhusu mauaji ya raia Ghaza

    Israel yakasirishwa na taarifa ya Baraza la Haki za Binadamu kuhusu mauaji ya raia Ghaza

    May 17, 2018 09:35

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametaka Israel iondoke haraka katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kufuatia kulaaniwa utawala huo katika kikao cha baraza hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS