Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Mtoto wa miezi 8 ni mmoja wa Wapalestina waliouawa na jeshi katili la Israel

    Mtoto wa miezi 8 ni mmoja wa Wapalestina waliouawa na jeshi katili la Israel

    May 16, 2018 03:21

    Mtoto mwenye umri wa miezi minane tu ni mmoja wa wahanga wa ukatili wa hivi punde wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    Arab League yaitisha kikao cha dharura kujadili mauaji ya umati ya Wapalestina

    May 16, 2018 03:00

    Huku nchi mbalimbali za dunia zikiendelea kulaani vikali mauaji ya umati yaliyofanywa na askari wa utawala bandia wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeaitisha kikao cha dharura kujadili ukatili huo.

  • Wito wa Hamas katika kukaribia mwaka wa 70 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina

    Wito wa Hamas katika kukaribia mwaka wa 70 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina

    May 13, 2018 22:37

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa taarifa katika kukaribia maadhimisho ya kutimia mwaka wa 70 tangu kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina yaani tarehe 15 Mei na kuwatolea mwito wananchi wa Palestina kushiriki kwa wingi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea" huko Quds, katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan, Ukanda wa Ghaza na ardhi za Palestina zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948.

  • Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Apr 28, 2018 03:07

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo liuchukulie hatua mara moja utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuwaua shahidi Wapalestina wanaofanya maandamano ya amani katika mpaka wa Ghaza.

  • Mkuu wa Haki za Binadamu UN alaani ukatili wa Israel huko Ghaza

    Mkuu wa Haki za Binadamu UN alaani ukatili wa Israel huko Ghaza

    Apr 27, 2018 09:22

    Mkuu wa masuala ya haki za binadamu katika Umoja wa Mataifa ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia nguvu ziada dhidi ya waandamanaji Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza jambo ambalo limepelekea makumi kuuawa katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Apr 20, 2018 23:40

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa umoja huo kuunda kamisheni huru ya kuchunguza jinai za kutisha zinazofanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Hamas: Kutunguliwa ndege za Israel Gaza, ni ishara ya kuwa macho muqawama

    Apr 12, 2018 10:04

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kitendo cha harakati hiyo kufanikiwa kutungua ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinazoshambulia Ukanda wa Gaza ni ithibati tosha kuwa harakati hiyo ya muqawama imesimama kidete na iko tayari kuzima chokochoko na uvamizi wa Tel Aviv.

  • Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon

    Mtazamo wa Hassan Nasrullah kuhusiana na uchaguzi wa bunge nchini Lebanon

    Apr 11, 2018 02:52

    Jumapili iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon alihutubia eneo la Nabatieh kusini mwa Lebanon ambapo alibainisha maoni yake kuhusiana na uchaguzi ujao wa bunge nchini humo.

  • Ukosoaji mkali wa kiongozi wa chama cha Leba cha Uingereza kwa hatua za kinyama za Israel dhidi ya Wapalestina

    Ukosoaji mkali wa kiongozi wa chama cha Leba cha Uingereza kwa hatua za kinyama za Israel dhidi ya Wapalestina

    Apr 09, 2018 01:27

    Jeremy Corbyn, kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza amelaani mauaji ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakati wa maandamano kwenye mpaka wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa mwenendo wa kuvifumbia macho na kuvinyamazia vitendo vya Israel vya kuwaua Wapalestina wanaoandamana bila ya kubeba silaha yoyote, inapasa ukomeshwe.

  • Arab League nayo yataka Israel ipelekwe The Hague

    Arab League nayo yataka Israel ipelekwe The Hague

    Apr 04, 2018 21:08

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (The Arab League (AL) nayo imejiunga na harakati na taasisi nyingine za kikanda na kimataifa zilizolaani jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na imeutaka Umoja wa Mataifa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuanzisha uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa hivi karibuni na jeshi la Isrel dhidi ya raia wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS