Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ghaza

  • Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Iran kufuatilia jinai za Israel katika taasisi za kimataifa

    Apr 04, 2018 02:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitza kuwa Iran itaendelea kuunga mkono harakati za mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina kutoka katika makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 11:24

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    Mar 29, 2018 02:06

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina Bw. Pierre Krahenbuhl ameonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya kibinadamu ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza ambalo liko chini ya mzingiro wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • HAMAS: Mzingiro dhidi ya Gaza unazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya eneo hilo

    HAMAS: Mzingiro dhidi ya Gaza unazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya eneo hilo

    Mar 22, 2018 03:03

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ametahadharisha kwamba, kuendelea mzingiro dhidi ya Ukanda wa gaza kutazidi kuifanya kuwa mbaya hali ya mambo katika eneo hilo.

  • Wapalestina 148 wajeruhiwa katika makabiliano na wanajeshi wa Kizayuni

    Wapalestina 148 wajeruhiwa katika makabiliano na wanajeshi wa Kizayuni

    Feb 17, 2018 13:52

    Wapalestina wasiopungua 148 walijeruhiwa Ijumaa wakati wakikabiliana na wanajeshi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Ghaza.

  • Mazungumzo ya Sheikh Tamim na Ismail Hania; kuendelea uungaji mkono wa Qatar kwa Gaza

    Mazungumzo ya Sheikh Tamim na Ismail Hania; kuendelea uungaji mkono wa Qatar kwa Gaza

    Feb 09, 2018 22:08

    Siku ya Alkhamisi, Sheikh Tamim bin Ahmad Aal Thani, Amir wa Qatar alifanya mazungumzo na Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS. Baada ya mazuangumzo hayo, Sheikh Tamim alitoa msaada wa Dola milioni 9 kwa ajili ya watu wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Hamas: Kushambuliwa Ghaza; ni njama zilizofeli za kutaka kuzima Intifadha ya Quds

    Dec 18, 2017 23:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuwa mashambulizi makubwa ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ni njama zilizofeli za kutaka kuzima mapambano ya Intifadha ya kuiunga mkono Quds katika ardhi zote za Palestina.

  • Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Hamas: Hakuna nchi inayoitwa 'Israel' hata mji mkuu wake uwe 'Quds'

    Dec 14, 2017 12:31

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa, hakuna dola linaloitwa Israel hata mji mkuu wake uwe Quds tukufu.

  • ICC yakataa kuifungulia mashtaka Israel kwa kuvamia msafara wa wanaharakati na kuua

    ICC yakataa kuifungulia mashtaka Israel kwa kuvamia msafara wa wanaharakati na kuua

    Dec 01, 2017 04:01

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imesema haitaufungulia mashtaka utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na uvamizi uliofanywa na makomandoo wake dhidi ya msafara wa misaada kwa ajili ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza katika maji ya kimataifa mwaka 2010.

  • Umasikini waongezeka katika eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina

    Umasikini waongezeka katika eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina

    Oct 22, 2017 23:19

    Uchunguzi mpya uliofanywa unaonyesha kuwa, umasikini katika eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina umeongezeka katika kipindi cha muongo mmoja wa mzingiro wa utawala haramu wa Israel katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS