-
Qatar: Nchi za Kiarabu zina haja ya kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Feb 28, 2019 02:30Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi zina wajibu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran kwani zinaihitajia nchi hiyo.
-
Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
Jan 19, 2019 03:06Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.
-
Iran yazindua manowari mpya ya kisasa katika Ghuba ya Uajemi
Dec 01, 2018 08:10Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua manowari mpya ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa kuvurumisha makombora.
-
Meja Jenerali Jaafari: Ujumbe wa Iran kwa nchi za Ghuba ya Uajemi ni wa amani na urafiki
Sep 05, 2018 13:51Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, ujumbe wa Iran kwa nchi za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi ni wa amani na urafiki sambamba na kuleta hali ya ushirikiano kwa ajili ya kudhamini amani katika maji ya Ghuba ya Uajemi bila ya uwepo wa vikosi vya madola ajinabi.
-
Meja Jenerali Bagheri: Maadui ni walowezi Ghuba ya Uajemi
Aug 30, 2018 02:26Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kutokana na uimara wa kikosi cha majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH), nchi maadui huwa zina woga mkubwa kabla ya kuingia katika Lango Bahari la Hormoz (la kusini mwa Iran) na katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, maadui hao wamelazimika kuheshimu sheria za kimataifa.
-
Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi
Aug 09, 2018 13:40Kamanda wa Komandi Kuu wa Jeshi la Marekani amezungumzia luteka mazoezi ya kijeshi yaliyoifanywa hivi karibuni na Jeshi la Majini la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormoz na kukiri uwezo mkubwa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Rouhani: Wanaolitakia mabaya taifa la Iran muda si mrefu watasailimu amri
Jun 28, 2018 13:36Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kuna haja ya kukabiliana na vitisho vya adui na kuvibadilisha kuwa fursa, kwani wanaolitakia mabaya taifa hili muda si mrefu watasalimu amri.
-
Waislamu duniani wanaswali Swala ya Iddi Ijumaa ya leo
Jun 15, 2018 04:51Waislamu katika nchi mbalimbali duniani leo wanaswali Swala ya Iddil-Fitri baada ya kutangazwa kuonekana kwa mwezi mwandamo na kukamilika mwezi wa Ramadhan.
-
Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati
May 01, 2018 14:14Mwanaharakati mashuhuri wa kisiasa nchini Kuwait amesambaza video inayoonyesha kuwa Saudia ndiye muhusika mkuu wa machafuko eneo la Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati kwa ujumla.
-
Qatar: Saudia inayakandamiza 'mataifa madogo' kwa lengo la kuyapigisha magoti
Nov 18, 2017 07:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema utawala wa Saudi Arabia unachochea migogoro na mivutano katika eneo la Mashariki ya Kati sambamba na kuzikandamiza na kuzinyanyasa nchi ndogo katika eneo ili kuzishinikiza zipige magoti mbele yake.