• Hamas yataka kuungwa mkono Muhammad al Qiq

    Hamas yataka kuungwa mkono Muhammad al Qiq

    Feb 07, 2016 04:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewatolea mwito wananchi wa Palestina kushiriki kwa wingi katika maandamano ya kumuunga mkono mwandishi habari wa Kipalestina aliyeko katika jela ya Israel huku akiwa amegoma kula.