Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah ya Lebanon

  • Afisa wa Hizbullah: Mfumo wa uchaguzi wa Marekani uko mbali sana na demokrasia

    Afisa wa Hizbullah: Mfumo wa uchaguzi wa Marekani uko mbali sana na demokrasia

    Nov 12, 2020 22:07

    Afisa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa mfumo wa uchaguzi wa Marekani umejitenga kwa masafa marefu sana na viwango vinavyokubalika vya demokrasia.

  • Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon

    Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon

    Sep 28, 2020 06:02

    Matukio ya Kisiasa ya hivi karibuni nchini Lebanon hususan baada ya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut mwezi Agosti mwaka huu ambao umepelekea kujiuzulu serikali ya nchi hiyo yametayarisha mazingira ya uingiliaji wa nchi za Magharibi hususan Ufaransa na Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo

  • Hizbullah: Wananchi wa Lebanon hawatobadilika kwa sababu ya vikwazo vya Marekani

    Hizbullah: Wananchi wa Lebanon hawatobadilika kwa sababu ya vikwazo vya Marekani

    Sep 12, 2020 21:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, siasa za vikwazo za Marekani haziwezi kuwafanya wananchi wa Lebanon walegeze kamba na kubadilisha msimamo wao.

  • HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na Hizbullah ya Lebanon

    HAMAS yasisitiza kuendeleza uhusiano wa kistratejia na Hizbullah ya Lebanon

    Sep 03, 2020 03:37

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, uhusiano wa kistratejia baina ya makundi ya ukombozi na muqawama na Hizbullah ya Lebanon utapelekea kukombolewa Palestina kutoka kwenye makucha ya maghasibu wa Israel.

  • Muqawama wa Palestina: Hizbullah ya Lebanon imegeuka jinamizi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Muqawama wa Palestina: Hizbullah ya Lebanon imegeuka jinamizi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 30, 2020 03:47

    Msemaji wa Kamati za Muqawama wa Palestina amesisitiza kuwa jibu lijalo ambalo harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepanga kutoa kwa utawala wa Kizayuni wa Israel limegeuka kuwa jinamizi na kitisho kikubwa kwa utawala huo haramu.

  • Hizbullah ya Lebanon yatungua ndege ya kijasusi ya Israel

    Hizbullah ya Lebanon yatungua ndege ya kijasusi ya Israel

    Aug 24, 2020 07:26

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel

  • Sheikh Naim Qassim: Hizbullah haitoruhusu Israel iivamie Lebanon

    Sheikh Naim Qassim: Hizbullah haitoruhusu Israel iivamie Lebanon

    Aug 22, 2020 03:12

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo ya Kiislamu kamwe haitoiruhusu Israel na waungaji mkono wake waivamie tena Lebanon.

  • Ujumbe wa Zarif katika kumbukumbu ya ushindi wa Hizbullah katika Vita vya Siku 33

    Ujumbe wa Zarif katika kumbukumbu ya ushindi wa Hizbullah katika Vita vya Siku 33

    Aug 14, 2020 03:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametuma ujumbe wa pongezi kwa kwa serikali na watu wa Lebanon kwa mnasaba wa mwaka wa 14 wa ushindi uliojaa fahari wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika Vita vya Siku 33.

  • Barua ya Israel kwa Umoja wa Mataifa; hofu na kiwewe cha kulipizwa kisasi na Hizbullah

    Barua ya Israel kwa Umoja wa Mataifa; hofu na kiwewe cha kulipizwa kisasi na Hizbullah

    Jul 27, 2020 03:45

    Israel imeuomba Umoja wa Mataifa ufanye usuluhishi kwa kuhofia Hizbullah ya Lebanon isije ikalipiza kisasi dhidi yake, huku mgogoro ndani ya utawala huo wa Kizayuni ukizidi kushadidi kufuatia maandamano ya maelfu ya watu ya kumpinga waziri mkuu Benjamin Netanyahu.

  • Utawala wa Kizayuni wa Israel waomba usuluhishi wa UN kwa kuhofia kipigo cha Hizbullah

    Utawala wa Kizayuni wa Israel waomba usuluhishi wa UN kwa kuhofia kipigo cha Hizbullah

    Jul 26, 2020 09:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, utawala huo umetuma barua kwa harakati ya Hizbullah ya Lebanon kupitia Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS