-
Mahiga: Waliowashambulia Watanzania washitakiwa India
Feb 05, 2016 11:55Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wa Tanzania, Dk. Augustine Mahiga ameliambia Bla nchi hiyo kuwa watu waliowashambulia Watanzania na kuwajeruhi vibaya nchini India wamekamatwa na kufikishwa mahakamani.