• Mahiga: Waliowashambulia Watanzania washitakiwa India

    Mahiga: Waliowashambulia Watanzania washitakiwa India

    Feb 05, 2016 11:55

    Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa wa Tanzania, Dk. Augustine Mahiga ameliambia Bla nchi hiyo kuwa watu waliowashambulia Watanzania na kuwajeruhi vibaya nchini India wamekamatwa na kufikishwa mahakamani.