-
Kunyamazia mashambulio ya kigaidi yanayofanywa Iran hakuna tija nyingine isipokuwa kuimarisha ugaidi
Nov 19, 2022 04:17Wizara ya Mambo ya Nje imetoa taarifa ambayo mbali na kulaani vitendo vya kigaidi katika miji ya Izeh, Esfahan na Mashhad imesisitiza kuwa: hakuna shaka kuwa kimya cha makusudi cha waenezaji fujo na machafuko ndani ya Iran wa kutokea nje ya nchi mbele ya hujuma zillizo dhahir shahir za kigaidi zilizofanywa katika miji kadhaa ya Iran, hakina matokeo mengine isipokuwa kuimarisha ugaidi ulimwenguni.
-
Abdollahian azihutubu Israel, Magharibi: Iran si Libya au Sudan
Nov 17, 2022 23:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui wameelekeza mashambulizi yao dhidi ya ardhi na utambulisho wa Iran kwa kuunga mkono harakati za ugaidi ndani ya nchi; lakini njama hizo zimegonga mwamba kutokana na kusimama kidete Wairani.
-
SEPAH: Ndoto ya adui ya kuigawa vipande vipande Iran kamwe haitoaguka
Nov 17, 2022 22:54Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesisitiza kuwa, Marekani ina hamu ya kuwaona vijana wa Iran wanauawa mitaani na kuona nyuso za watu zinasinyaa, wananchi wanakasirika na Iran inagawanyika vipande vipande, lakini ndoto hiyo ya kishetani ya adui kamwe haitoaguka kwani Iran ni taifa imara na la muqawama.
-
Raisi: Maadui wanataka kuwakatisha tamaa wananchi wa Iran
Nov 17, 2022 05:58Rais wa Iran amesema maadui wanafanya juu chini na kula kila aina ya njama kwa lengo la kuwakatisha tamaa wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran na Afrika Kusini zaazimia kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Nov 17, 2022 04:14Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Afrika Kusini wamesisitizia haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.
-
Iran yaitaka Marekani iache unafiki katika mazungumzo ya JCPOA
Nov 17, 2022 03:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani ipo mbioni kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, na kwa msingi huo amewaasa viongozi wa nchi hiyo na timu ya wapatanishi wa Washington katika mazungumzo hayo kuweka pembeni unafiki.
-
Kadhaa watiwa mbaroni kwa kuhusika na shambulio la kigaidi lililoua watu 5 kusini mwa Iran
Nov 16, 2022 23:23Vikosi vya usalama vya Iran vimewatia mbaroni watu kadhaa wanaohusishwa na shambulio la kigaidi lililosababisha vifo vya watu sita usiku wa kuamkia leo katika mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa nchi.
-
Abdollahian: Iraq ina wajibu wa kuzuia vitisho dhidi ya Iran kutokea Kurdistan
Nov 15, 2022 04:08Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mwito kwa jirani yake Iraq kuchukua hatua za kuzuia vitisho vinavyopangwa na kutekelezwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kutokea eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan, kaskazini mwa Iraq.
-
Tehran yalaani vikwazo vipya vya EU dhidi ya Iran
Nov 15, 2022 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikwazo vipya vilivyotangazwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 29 na taasisi tatu za Kiirani, ikiwemo kanali ya televisheni ya Press TV.
-
Timu ya kandanda ya Iran yawasili Qatar kushiriki Kombe la Dunia
Nov 15, 2022 00:19Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwenda kuweka kambi ya kujianjdaa kwa fainali za Kombe la Dunia zitakazoanza kutifua mavumbi wiki ijayo.