Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373

    Mousavi: Droni za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa Bavar 373

    Nov 14, 2022 03:16

    Kamanda wa Majeshi ya Iran amesema ndege zisizo na rubani za maadui zipo ndani ya shabaha ya mfumo wa makombora ya kujihami ya masafa marefu wa Bavar 373.

  • Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Bidhaa za Iran zinazidi kupata umaarufu barani Afrika

    Nov 13, 2022 01:11

    Kaimu Mkuu wa Kituo cha Biashara ya Iran na Afrika amesema: "Inatabiriwa kuwa kwa kasi ya sasa ya ustawi wa biashara ya Iran na Afrika katika mwaka huu (1401 Hijria Shamsia) kiwango cha mauzo ya bidhaa za Iran barani Afrika kitafika dola bilioni 1.8.

  • Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Mashinikizo mapya ya Magharibi dhidi ya Iran baada ya kushindwa mradi wa kuibua ghasia

    Nov 12, 2022 22:52

    Nchi za Magharibi baada ya kushindwa mradi wao wa kuibua ghasia nchini Iran sasa zinatafuta njia nyingine mpya mbadala ili kuiwekea mashinikizo Tehran. Katika uwanja huo, nchi za Magharibi khususan za Ulaya mbali na kuratibu vikwazo vipya zimejielekeza katika kutoa taarifa na maazimio dhidi ya Iran sambamba na kushadidisha mashinikizo ya kisiasa dhidi ya nchi hii.

  • Jitihada za kufunga kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani

    Jitihada za kufunga kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani

    Nov 12, 2022 08:48

    Katika juhudi za madola ya Magharibi za kuunga mkono ghasia na machafuko nchini Iran, vyama vya muungano unaotawala nchini Ujerumani vimetoa wito wa kufungwa Kituo cha Kiislamu na Kiutamduni cha Iran katika mji wa Hamburg nchini humo.

  • Amir Abdollahian: Azimio la UN haliizuia Iran kuuza silaha nje ya nchi

    Amir Abdollahian: Azimio la UN haliizuia Iran kuuza silaha nje ya nchi

    Nov 12, 2022 04:40

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema: "Kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama, hakuna marufuku ya kuagiza na kuuza silaha za Iran nje ya nchi, na Tehran haijaipa Russia silaha zozote ili zitumike katika vita vya Ukraine."

  • Faili la pili la sauti ya mwandishi wa BBC: Lengo la ghasia ni kuigawa Iran

    Faili la pili la sauti ya mwandishi wa BBC: Lengo la ghasia ni kuigawa Iran

    Nov 11, 2022 04:37

    Faili la pili la sauti lililovuja la mwandishi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC limefichua wazi zaidi jinsi televisheni inayofadhiliwa na Saudia inayojiita 'Iran International' inavyoongoza kampeni ya kuigawa Iran vipande vipande.

  • Iran yaionya Ujerumani: Jibu letu kwa uingiliaji wenu litakuwa zito

    Iran yaionya Ujerumani: Jibu letu kwa uingiliaji wenu litakuwa zito

    Nov 10, 2022 07:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya uingiliaji na ya kichochezi yaliyotolewa na mwenzake wa Ujerumani na kuonya kuwa, Tehran itatoa jibu lenye mlingano na madhubuti kwa misimamo hiyo ya uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hii.

  • Sisitizo jingine la Marekani la kuunga mkono vurugu na machafuko nchini Iran

    Sisitizo jingine la Marekani la kuunga mkono vurugu na machafuko nchini Iran

    Nov 09, 2022 05:12

    Ned Price, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ameendelea kuunga mkono vurugu na machafuko nchini Iran na kukana kabisa kuhusika nchi yake katika vurugu hizo.

  • Mkuu wa sera za nje wa EU atoa madai mapya kuhusu mazungumzo ya Vienna

    Mkuu wa sera za nje wa EU atoa madai mapya kuhusu mazungumzo ya Vienna

    Nov 08, 2022 04:37

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa madai mapya kuhusu mazungumzo ya Vienna ya uondoaji vikwazo dhidi ya Iran pasina kuashiria chochote kuhusu kujiondoa kinyume cha sheria Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na jinsi nchi za Ulaya zilivyohalifu ahadi zao kuhusiana na makubaliano hayo.

  • Rais wa Ufaransa: Inapasa tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Iran

    Rais wa Ufaransa: Inapasa tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Iran

    Nov 08, 2022 03:59

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa vitisho vya Iran vimevuka mipaka ya Asia Magharibi, na kueleza kwamba mbinu za kukabiliana na vitisho vya Tehran duniani inapasa zibadilishwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS