Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Urutubishaji wa madini ya urani hadi asilimia 60 nchini Iran na kelele za kisiasa zilizoibuliwa

    Urutubishaji wa madini ya urani hadi asilimia 60 nchini Iran na kelele za kisiasa zilizoibuliwa

    Apr 18, 2021 06:19

    Iran kamwe haifuatilii shughuli zisizo za kawaida za nyuklia na wala haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia. Huu ni ukweli ambao umethibitishwa mara kadhaa katika ripoti za Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Iran yajibu matamshi ya kuingilia masuala yake ya ndani yaliyotolewa na Arab League na GCC

    Iran yajibu matamshi ya kuingilia masuala yake ya ndani yaliyotolewa na Arab League na GCC

    Apr 16, 2021 22:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameiasa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi (P) GCC badala ya kuungana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kutoa tuhuma kila mara dhidi ya Iran zielekeze macho yao kwa shughuli za kijeshi za nyuklia na zilizo kinyume na sheria zinazofanywa na utawala huo.

  • Hati ya ushirikiano mpana wa kistratijia wa Iran na China na wasiwasi wa Wamagharibi

    Hati ya ushirikiano mpana wa kistratijia wa Iran na China na wasiwasi wa Wamagharibi

    Apr 16, 2021 22:11

    Tarehe 29 Machi mwaka huu, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China walitia saini hati ya ushirikiano mpana wa kistratijia wa nchi mbili, kufuatia safari ya Wang Yi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China mjini Tehran, ikiwa ni katika kukaribia maadhimisho ya kutimia miaka 50 ya uhusiano wa kidiplomasia wa Tehran na Beijing.

  • Araqchi: Nchi za Ulaya zinapaswa kuonyesha zinayapa uzito mazungumzo ya nyuklia

    Araqchi: Nchi za Ulaya zinapaswa kuonyesha zinayapa uzito mazungumzo ya nyuklia

    Apr 16, 2021 03:22

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tume ya Pamoja ya Mapatano ya Nyuklia ya JCPOA ilifanya kikao chake Vienna, Austria jana Alhamisi ambapo kikao hicho kilikuwa na changamoto nyingi.

  • Admeri Khanzadi: Adui hana ubavu wa kuhujumu maji ya Iran

    Admeri Khanzadi: Adui hana ubavu wa kuhujumu maji ya Iran

    Apr 15, 2021 23:04

    Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui hawana ubavu wala uthubutu wa kuhujumu maji ya taifa hili.

  • Wazayuni wana wasiwasi wa Iran kulipiza kisasi cha hujuma dhidi ya kituo cha nyuklia cha Natanz

    Wazayuni wana wasiwasi wa Iran kulipiza kisasi cha hujuma dhidi ya kituo cha nyuklia cha Natanz

    Apr 15, 2021 09:08

    Waziri mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amesema, ana wasiwasi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuchukua hatua ya kulipiza kisasi kwa sababu ya Israel kufanya hujuma katika kituo cha nyukulia cha Natanz.

  • Kimya cha IAEA baada ya uharibifu uliofanywa katika taasisi ya nyuklia ya Iran

    Kimya cha IAEA baada ya uharibifu uliofanywa katika taasisi ya nyuklia ya Iran

    Apr 14, 2021 21:55

    Hujuma ya uharibifu iliyofanywa na Israel katika taasisi ya nishati ya nyuklia ya Natanz nchini Iran siku ya Jumapili iliyopita, kwa mara nyingine tena imeleta udharura wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kama taasisi kuu zaidi ya kimataifa inayosimamia shughuli za nyuklia dunia, kutoa jibu na kueleza wazi msimamo wake.

  • Kiongozi Muadhamu: Sera za Iran kuhusu JCPOA ziko wazi

    Kiongozi Muadhamu: Sera za Iran kuhusu JCPOA ziko wazi

    Apr 14, 2021 12:41

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumza kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA na vikwazo na kusema sera za Iran ziko wazi kuhusu JCPOA na vikwazo. Ameongeza kuwa sera hizo amezibainisha wazi kwa wakuu wa nchi kupitia maandishi na katika mikutano.

  • Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Apr 14, 2021 08:18

    Baraza la Umoja wa Ulaya Jumatatu tarehe 12 mwezi huu wa Aprili liliwajumuisha maafisa 8 na taasisi 3 katika ordha ya vikwazo dhidi ya Iran kwa kisingizio cha eti kukiuka haki za binadamu. Aidha baraza hilo limechukua uamuzi wa kurefusha hatua zake dhidi ya Iran hadi tarehe 13 mwezi Aprili mwaka kesho kwa kisingizio cha kile ilichokitaja kuwa ukiukaji wa haki za binzdamu.

  • Chanjo ya Corona ya Barekat kuanza kuzalishwa kwa wingi nchini Iran wiki ijayo

    Chanjo ya Corona ya Barekat kuanza kuzalishwa kwa wingi nchini Iran wiki ijayo

    Apr 13, 2021 03:24

    Mwenyekiti wa Ofisi Kuu ya Kutekeleza Maagizo ya Imam Khomeini amesema Wakfu wa Barekat wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utaanza kuzalisha kwa wingi chanjo ya kukabiliana na virusi vya Corona ya 'COVIran Barekat' kuanzia wiki ijayo Aprili 21.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS