-
Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini
Sep 01, 2019 06:55Brigedia Jenerali Alireza Sabahi Fard, Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbiya (SAW) cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akizingumza katika mkesha wa 'Siku ya Ulinzi wa Anga' ameashiria mafanikio ya Iran katika sekta ya ulinzi wa anga na kusema: "Uwezo wa Iran wa kujihami angani umemfanya adui apoteze matumaini."
-
Iran yajibu vitisho vya Marekani: Tutauza mafuta kwa yeyote na kwa washitiri wote
Sep 01, 2019 03:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inatumia "uharamia na vitisho" kuizuia Iran isiuze mafuta yake, lakini Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuuza mafuta yake kwa yeyote na kwa wanunuzi wote.
-
Sisitizo la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa EU juu ya kulinda makubaliano ya JCPOA na kuimarisha usalama wa Ghuba ya Uajemi
Aug 31, 2019 07:40Umoja wa Ulaya pamoja na Troika ya Ulaya zikiwa wanachama wa kundi la 4+1 mara kadhaa zimesisitiza kuwa kuna udharura wa kuyalinda makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na wakati huo huo kurejesha uthabiti na usalama katika Ghuba ya Uajemi kwa kuzingatia chokochoko za Marekani katika eneo hilo la maji lenye umuhimu wa kijio-stratejia.
-
Zarif: Lazima Marekani isitishe ugaidi wa kiuchumi na irejee JCPOA, kabla ya mazungumzo
Aug 30, 2019 03:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mohammad Javad Zarif amesema Marekani lazime irejee katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na isitishe ugaidi wake wa kiuchumi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kabla ya kufanyika mazungumzo.
-
Iran na Syria, kuanzia vita dhidi ya ugaidi hadi kwenye ushirikiano wa kiuchumi
Aug 30, 2019 03:29Waziri wa Barabara na Ujenzi wa Iran amewasili katika mji mkuu wa Syria, Damascus kwa shabaha ya kufuatilia ushirikiano wa kiuchumi na kuchunguza njia za kuimarisha zaidi ushirikiano wa pande mbili.
-
Salehi: Iran inaendelea na miradi yake ya nyuklia kwa nguvu zake zote
Aug 29, 2019 07:45Mkuu wa Taasisi ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa, shughuli za nyuklia za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinaendelea kwa nguvu zote katika vitengo vyake vyote na kwamba miradi ya nyuklia ya Iran haijawahi kusimamishwa hata mara moja.
-
Kudumu kwa JCPOA kunategemea hatua za kivitendo za Ulaya, si kufanya mazungumzo na Marekani
Aug 29, 2019 07:43Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaruhusu Marekani iyatumie vibaya kwa manufaa yake mazungumzo ya Iran na nchi za Ulaya.
-
Zarif akiwa Beijing; ramani ya njia ya miaka 25 ya kutekeleza ushirika wa kistratijia baina ya Iran na China
Aug 27, 2019 02:52Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akiwa anaongoza ujumbe wa ngazi za juu, Jumapili alitembelea China.
-
Baada ya kugonga mwamba, Trump adai anataka Iran iliyo nzuri na imara, si kubadilisha utawala
Aug 26, 2019 22:10Rais Ronald Trump wa Marekani amedai kuwa, anataka kuona Iran iliyo imara na wala hataki utawala uliopo uondoke.
-
Mazungumzo ya viongozi wa Ufaransa na Marekani kuhusu Iran na JCPOA
Aug 25, 2019 08:21Mivutano iliyopo baina ya Marekani na nchi za Ulaya zilizomo katika kundi la 4+1 kuhusiana na jinsi ya kuamiliana na Iran na kadhia nzima ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado ni moja ya mivutano mikubwa ya pande hizo mbili. Katika wiki za hivi karibuni, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alifanya mazungumzo mbalimbali na marais wa Iran na Marekani na kuja na mapendekezo ya kupunguza wasiwasi uliopo.