-
Mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yaliyoanza leo mjini Muscat, Oman
Apr 12, 2025 09:18Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa: Ujumbe wa Iran ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Sayyid Abbas Araqchi umeelekea Muscat mji mkuu wa Oman yanakofanyika mazungumzo kati ya Iran na Marekani.
-
Iran: Nyuklia na kuondolewa vikwazo ndizo maudhui pekee za mazungumzo
Apr 10, 2025 03:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Suala la nyuklia kwa maana ya kuhakikisha mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani kikamilifu na kuondolewa vikwazo, ndiyo masuala pekee yanyojadiliwa kwenye mazungumzo.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mpira sasa uko upande wa Marekani
Apr 09, 2025 06:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza katika andiko lililochapishwa na gazeti la Washington Post: "mpira sasa uko upande wa Marekani, na ikiwa Washington inatafuta suluhu ya kweli ya kidiplomasia, sisi tayari tumeshatangulia kuonyesha njia ya kuifikia."
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi
Mar 17, 2025 06:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Yemen kwa Muqawama wake wa kukabiliana na jinai za kinyama za utawala wa Marekani dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa hakuna shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi.
-
Wizara ya Mambo ya Nje: Iran haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo
Feb 13, 2025 10:44Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haikubali mazungumzo chini ya mashinikizo, na kutangaza kuwa: Katika kuendeleza utendaji wake wa kisheria, Iran, daima inaunga mkono suuala la kupatiwa ufumbuzi masuala mbalimbali kwa njia za kidiplomasia ikiwa ni pamoja na suala la nyuklia.
-
Libya yagundua makaburi mawili ya halaiki yenye miili ipatayo 50 ya wahajiri na wakimbizi
Feb 10, 2025 06:59Mamlaka za Libya zimegundua miili ipatayo 50 kwenye makaburi mawili ya halaiki katika jangwa la kusini mashariki mwa nchi hiyo, katika maafa ya karibuni zaidi yaliyohusisha watu wanaotaka kufika Ulaya kupitia nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.
-
Waziri wa Mambo ya Nje: Magharibi inapaswa ichukue hatua nyingi ili Iran iweze kuwa na imani nayo
Jan 29, 2025 03:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya rais mpya wa Marekani aliyeonyesha hamu ya kufikia makubaliano na Iran, kwa kusisitiza kuwa, nchi za Magharibi zinapaswa kuchukua hatua nyingi ili kuifanya Iran iwe na imani nazo.
-
CIA yakiri kwamba mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani
Jan 12, 2025 03:03Mkuu wa shirika la kijasusi la Marekani (CIA) amekiri kwamba mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kiraia na hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa mradi huo umeelekea upande wa kijeshi.
-
Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote
Nov 23, 2024 07:21Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zilizotolewa na Marekani na Uingereza za eti kuvuruga amani katika eneo la Asia Magharibi na kuhusika na mapigano yanayoendelea Ukraine; akisisitiza kuwa tuhuma zote hizo hazina msingi wowote.
-
Iran yaionya Marekani kuhusu kukariri siasa zilizofeli za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa
Nov 14, 2024 09:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kuanzisha tena kampeni yake ya "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" dhidi ya Tehran na kusisitiza kwamba, majaribio ya hapo awali ya Washington ya kuishinikiza Iran yalishindwa na kugonga mwamba.