Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Waziri wa Mambo ya Nje: Magharibi inapaswa ichukue hatua nyingi ili Iran iweze kuwa na imani nayo

    Waziri wa Mambo ya Nje: Magharibi inapaswa ichukue hatua nyingi ili Iran iweze kuwa na imani nayo

    Jan 29, 2025 03:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mjibizo kwa kauli ya rais mpya wa Marekani aliyeonyesha hamu ya kufikia makubaliano na Iran, kwa kusisitiza kuwa, nchi za Magharibi zinapaswa kuchukua hatua nyingi ili kuifanya Iran iwe na imani nazo.

  • CIA yakiri kwamba mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    CIA yakiri kwamba mradi wa nyuklia wa Iran ni wa amani

    Jan 12, 2025 03:03

    Mkuu wa shirika la kijasusi la Marekani (CIA) amekiri kwamba mradi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kiraia na hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa mradi huo umeelekea upande wa kijeshi.

  • Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote

    Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote

    Nov 23, 2024 07:21

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zilizotolewa na Marekani na Uingereza za eti kuvuruga amani katika eneo la Asia Magharibi na kuhusika na mapigano yanayoendelea Ukraine; akisisitiza kuwa tuhuma zote hizo hazina msingi wowote.

  • Iran yaionya  Marekani kuhusu kukariri siasa zilizofeli za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa

    Iran yaionya Marekani kuhusu kukariri siasa zilizofeli za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa

    Nov 14, 2024 09:34

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kuanzisha tena kampeni yake ya "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" dhidi ya Tehran na kusisitiza kwamba, majaribio ya hapo awali ya Washington ya kuishinikiza Iran yalishindwa na kugonga mwamba.

  • Iran: Madai ya kuhusika na njama za kutaka kuwaua viongozi wa Marekani hayana msingi wowote

    Iran: Madai ya kuhusika na njama za kutaka kuwaua viongozi wa Marekani hayana msingi wowote

    Nov 09, 2024 07:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, madai kwamba Iran ilihusika katika jaribio la kuwaua viongozi wa zamani au wa sasa wa Marekani yanakanushwa vikali na hayana msingi wowote.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Wazayuni wanataka kuathiri uchaguzi wa Marekani

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Wazayuni wanataka kuathiri uchaguzi wa Marekani

    Oct 09, 2024 06:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utawala wa Kizayuni unataka kupanua vita katika eneo la Magharibi mwa Asia lengo likiwa ni kuathiri matokeo ya uchaguzi ujao wa Marekani.

  • Iran yalaani hotuba ya Netanyahu katika Kongresi ya Marekani

    Iran yalaani hotuba ya Netanyahu katika Kongresi ya Marekani

    Jul 25, 2024 11:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Benjamin Netanyahu, mtenda jinai nambari moja wa utawala bandia wa Israel, amepakatwa kwenye mikono ya waungaji mkono wake baada ya miezi 9 ya mauaji ya kimbari na mauaji ya watoto wachanga; na fedheha ndilo neno dogo linaloweza kutumiwa kueleza kashfa hiyo.

  • Iran yajibu shutuma zisizo na msingi za Marekani kuhusu Yemen

    Iran yajibu shutuma zisizo na msingi za Marekani kuhusu Yemen

    Jun 20, 2024 07:09

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezitaja tuhuma za Marekani dhidi ya Iran kuhusu Yemen kuwa hazina msingi wowote na kusema kwamba, Jamhuri ya Kiislamu daima imekuwa ikitilia mkazo utatuzi wa amani wa mgogoro wa Yemen kupitia njia za kidiplomasia.

  • Licha ya mauaji ya Rafah, US yasema Israel bado haijavuka 'mstari mwekundu' wa Biden

    Licha ya mauaji ya Rafah, US yasema Israel bado haijavuka 'mstari mwekundu' wa Biden

    May 29, 2024 06:43

    Msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Marekani John Kirby amedai kuwa Israel haijakiuka "mstari mwekundu" wa Rais Joe Biden wa kuifanya Washington isitishe katika siku za usoni kuipatia Tel Aviv silaha za mashambulizi kwa sababu inavyohisi Marekani Israel haitaanzisha operesheni ya ardhini ya kuuvamia kikamilifu mji wa Rafah wa kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Iran yathibitisha imekuwa na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran yathibitisha imekuwa na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    May 19, 2024 11:15

    Ofisi ya uwakilishi ya Iran katika Umoja wa Mataifa imethibitisha kuwa kumekuwepo na mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS