-
Mwakilishi wa Iran UN akanusha kukutana na mwakilishi wa Marekani
Jan 19, 2023 03:02Ofisi ya Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imekanusha uvumi ulioenezwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba mwakilishi wa Iran katika umoja huo ameonana na mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran.
-
Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa
Nov 28, 2022 11:33Gazeti la Marca la Uhispania limeitaja mechi ya soka ya michuano ya Kombe la Dunia kati ya timu ya taifa ya kandanda ya Iran na Marekani kuwa ni mpambano mkubwa wa kisiasa.
-
SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani
Oct 30, 2022 02:31Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesisitiza kuwa, kwa kujitokeza kwao vilivyo katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu; muda wote wananchi wa Iran wamekuwa wakiidhalilisha na kuifedhehesha Marekani na kuthibitisha kivitendo matamshi ya Imam Khomeini MA kuwa Marekani haiwezi kulifanyia taifa la Iran upuuzi wowote.
-
Kan'ani: Iran na Marekani zabadilishana jumbe baina yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la UN
Oct 03, 2022 12:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jumbe za uwakilishi za Iran na Marekani zilibadilishana jumbe kati yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Spika Qalibaf: Marekani ni mtekelezaji wa sera za Wazayuni katika eneo
Jul 12, 2022 07:54Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani ni mtekelezaji wa siasa na sera za Wazayuni katika eneo.
-
Iran: Tumeieleza wazi Marekani, hatuwezi kufumbia macho mistari yetu myekundu
Mar 24, 2022 07:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeieleza wazi Marekani kuwa kamwe haiwezi kuvuka mistari yake myakundu.
-
Amir-Abdollahian: Iran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani
Jan 29, 2022 03:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani.
-
Meja Salami: Marekani imedhoofika
Nov 24, 2021 03:03Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Nguvu za Marekani zimedhoofika."
-
Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran
Oct 21, 2021 09:56Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran si tu kwamba vimeathiri uchumi wa nchi bali pia vimeathiri vibaya mfumo wa usambazaji dawa na vifaa vya tiba na afya nchini na hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.
-
Khatibzadeh: Viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia iliyofeli ya serikali iliyopita
Sep 04, 2021 08:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia ileile iliyofeli na kugonga mwamba ya serikali iliyopita ya nchi hiyo.