-
Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya
Jul 26, 2021 08:02Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Iran amekiri kuwa vikwazo vya kidhulma na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya nchi hiyo dhidi ya Iran yamefeli vibaya na amekariri madai ya kila siku ya serikali ya Joe Biden kuwa eti Washington iko tayari kurejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itatekeleza majukumu yake.
-
Khatibzadeh: Iran iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa
Jul 18, 2021 08:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya viongozi wa Marekani akisisitiza kuwa: Iran leo iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa.
-
Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu yakosoa undumakuwili wa Marekani
Jun 25, 2021 03:30Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu imelaani hatua ya Wizara ya Sheria ya Marekani ya kufunga tovuti za baadhi ya taasisii za habari wanachama wa jumuiya hiyo.
-
Redio ya China: Marekani ndiyo inayofanya chokochoko dhidi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi
May 02, 2021 02:23Redio ya serikali na kimataifa ya China imeashiria harakati za jeshi la Marekani katika Ghuba ya Uajemi na kueleza kwamba, kinyume na madai ya Washington, Marekani ndiyo inayoendelea kufanya chokochoko hivi sasa dhidi ya Iran.
-
Rais Rouhani: Iran imesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani
Apr 20, 2021 01:02Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa la Iran limesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani.
-
Khatibzadeh: Marekani haiwezi kuwa na machaguo mawili kwa wakati mmoja
Apr 11, 2021 04:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisisitiza kuwa, Marekani haiwezi kuwa na machaguo mawili kwa wakati mmoja.
-
Rouhani: Vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu
Apr 01, 2021 06:55Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuendelezwa vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu.
-
Tehran: Vikwazo vya Marekani vimekiuka haki za raia wa Iran
Mar 04, 2021 06:55Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amesema kuwa vikwazo vya upande mmoja, haramu na vya kidhalimu vya Marekani vimekiuka haki za taifa la Iran na nchi hiyo haina haki ya kuzungumzia au kuwa na wasiwasi kuhusu haki za binadamu nchini Iran.
-
Iran: Hatuoni mabadiliko yoyote katika vitendo vya Marekani
Feb 26, 2021 02:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haioni mabadiliko yoyote katika vitendo vya Marekani licha ya rais mpya kuingia madarakani nchini humo
-
Khatibzadeh: Iran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani
Feb 22, 2021 08:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hakujafanyika mazungumzo ya moja kwa moja baina ya taifa hili na Marekani na kwamba, maelezo yanayobainishwa na kuonyesha kama kumekuweko na mazungumzo ya moja kwa moja baina ya Tehran na Washington hayana ukweli wowote.