Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • US, UK zashambulia vituo vya Ansarullah Yemen kwa sababu ya msimamo wake wa kuwahami Wapalestina

    US, UK zashambulia vituo vya Ansarullah Yemen kwa sababu ya msimamo wake wa kuwahami Wapalestina

    Jan 12, 2024 03:55

    Marekani na Uingereza zimeshambulia vituo kadhaa vya harakati ya Ansarullah kukabiliana na hatua ya harakati hiyo ya wananchi wa Yemen ya kuzishambulia meli zenye uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwa sababu ya vita vya mauaji ya kimbari na ya halaiki unavyoendesha utawala huo dhalimu dhidi ya Wapalestina wa Gaza.

  • Iran na Russia: Marekani inatafuta visingizio vya kupanua uwepo wake katika eneo

    Iran na Russia: Marekani inatafuta visingizio vya kupanua uwepo wake katika eneo

    Jan 10, 2024 06:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Russia Sergei Lavrov wamesema Marekani inajaribu kubuni visingizio ili kupanua uwepo wake katika eneo. Wanadiplomasia hao wakuu wa Tehran na Moscow wametoa indhari hiyo katika mazungumzo waliyofanya kwa njia ya simu jana Jumanne.

  • Indhari ya balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa kwa Marekani kuhusu vitendo vya kichochezi

    Indhari ya balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa kwa Marekani kuhusu vitendo vya kichochezi

    Jan 10, 2024 02:42

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha madai ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika kikao cha Baraza la Usalama kuhusu Bahari Nyekundu na kuonya dhidi ya hatua zozote za uchochezi zinazofanywa na Wamarekani.

  • Ubaguzi wa taaluma nchini Uholanzi kutokana na hofu ya vikwazo vya Marekani

    Ubaguzi wa taaluma nchini Uholanzi kutokana na hofu ya vikwazo vya Marekani

    Jun 30, 2023 06:45

    Kufuatia uamuzi wa Taasisi ya Haki za Binadamu ya Uholanzi kwamba kampuni ya nchi hiyo kwa jina ASML inaruhusiwa kukataa kuwaajiri wafanyakazi wake kwa msingi wa utaifa na uraia wao, kampuni hiyo yenye uhusiano mkubwa wa kibiashara na Marekani, siku ya jumatatu ilitangaza kuridhishwa na uamuzi huo uliotolewa kwa maslahi yake.

  • Kamanda: Marekani ilishindwa kuuzuia msafara wa manowari za Iran kuvuka Mfereji wa Panama

    Kamanda: Marekani ilishindwa kuuzuia msafara wa manowari za Iran kuvuka Mfereji wa Panama

    May 15, 2023 01:41

    Kamanda wa jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Naibu Admeri Shahram Irani amesema, Marekani ilishindwa kuzuia kundi la 86 la manowari za Jeshi la Wanamaji la Iran kupita kwenye Mfereji wa Panama.

  • Mwakilishi wa Iran UN akanusha kukutana na mwakilishi wa Marekani

    Mwakilishi wa Iran UN akanusha kukutana na mwakilishi wa Marekani

    Jan 19, 2023 03:02

    Ofisi ya Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imekanusha uvumi ulioenezwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba mwakilishi wa Iran katika umoja huo ameonana na mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran.

  • Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Nov 28, 2022 11:33

    Gazeti la Marca la Uhispania limeitaja mechi ya soka ya michuano ya Kombe la Dunia kati ya timu ya taifa ya kandanda ya Iran na Marekani kuwa ni mpambano mkubwa wa kisiasa.

  • SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani

    SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani

    Oct 30, 2022 02:31

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesisitiza kuwa, kwa kujitokeza kwao vilivyo katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu; muda wote wananchi wa Iran wamekuwa wakiidhalilisha na kuifedhehesha Marekani na kuthibitisha kivitendo matamshi ya Imam Khomeini MA kuwa Marekani haiwezi kulifanyia taifa la Iran upuuzi wowote.

  • Kan'ani:  Iran na Marekani zabadilishana jumbe baina yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la UN

    Kan'ani: Iran na Marekani zabadilishana jumbe baina yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la UN

    Oct 03, 2022 12:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jumbe za uwakilishi za Iran na Marekani zilibadilishana jumbe kati yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

  • Spika Qalibaf: Marekani ni mtekelezaji wa sera za Wazayuni katika eneo

    Spika Qalibaf: Marekani ni mtekelezaji wa sera za Wazayuni katika eneo

    Jul 12, 2022 07:54

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani ni mtekelezaji wa siasa na sera za Wazayuni katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS