-
Zaidi ya magaidi 80 wauawa Sinai, Misri
May 25, 2016 23:57Jeshi la Misri limetangaza kuwa, limefanikiwa kuua magaidi wasiopungua 85 katika kipindi cha siku nne zilizopita kwenye maeneo ya Sheikh Zuweid na Rafah, katika rasi ya Sinai ya kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Kuwa na wabunge wa dini zote ni katika sifa maalumu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Feb 22, 2016 00:05Mwakilishi wa Jumuiya ya Mayahudi wa Isfahan magharibi mwa Iran amesema kuwa, kupewa nafasi wafuasi wa dini zote za tawhidi katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ni katika sifa za kipekee za mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.