-
Shambulio la kijeshi la Israel kusini mwa Lebanon baada ya miaka 15; sababu, malengo na matokeo yake
Aug 06, 2021 20:42Vyombo ya habari vya Palestina vilitangaza alfajiri ya kuamkia Alkhamisi kwamba ndege za kivita za jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia ngome kadhaa katika eneo la mpaka wa pamoja wa kusini mwa Lebanon na Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel).
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuitembelea Morocco
Aug 06, 2021 20:36Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel anatazamiwa kufanya safari ya kuitembelea Morocco wiki ijayo.
-
Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana
Aug 05, 2021 02:37Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amepinga tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Magharibi dhidi ya Iran kuhusu shambulizi lililolenga meli ya Mercer Street na kusema, taarifa hizo zinakinzana na zimetegemea dhana na tetetsi.
-
Judoka mwingine, raia wa Lebanon akataa kupambana na Mzayuni
Aug 01, 2021 03:39Mwanajudo wa Lebanon, Abdullah Miniato ametangaza kujiondoa katika mashindano ya kimataifa ya mchezo wa mixed martial arts (MMA) huko mjini Sophia, Bulgaria, na kwa utaratibu huo anakuwa judoka wa tatu kukwepa kuvaana na hasimu kutoka utawala haramu wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
-
Msimamo mmoja wa nchi 14 za Afrika wa kupinga utawala wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika
Aug 01, 2021 02:15Kanali ya al-Waaqe' ya Algeria ilitangaza Jumamosi kuwa nchi hiyo imeanzisha rasmi mchakato wa kubuni kundi la Kiafrika litakalofuatilia kutenguliwa uamuzi wa kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika AU, ili kulinda misingi ya umoja huo inayounga mkono taifa la Palestina.
-
Kamanda wa jeshi la Lebanon: Jeshi liko macho mkabala na hatari ya adui Mzayuni
Jul 30, 2021 22:10Kamanda wa jeshi la Lebanon amesisitiza kuwa vikosi vya jeshi hilo vipo tayari katika maeneo ya mipakani kwa ajili ya kukabiliana na hatari ya utawala wa Israel.
-
Namibia pia yalaani kuruhusiwa Israel kuwa mwanachama wa AU
Jul 30, 2021 08:13Namibia imelalamikia vikali kitendo cha kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika (AU).
-
Meli ya Israel yashambuliwa katika pwani ya Oman
Jul 30, 2021 08:07Jeshi la Uingereza limetangaza habari ya kushambuliwa meli ya mizigo ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika pwani ya Oman.
-
HAMAS yalaani kuidhinishwa Israel kuwa mwanachama mtazamaji wa AU
Jul 24, 2021 20:51Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekosoa vikali hatua ya Umoja wa Afrika (AU) ya kuupa utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa umoja huo.
-
HRW: Biden anapaswa kusitisha uuzaji wa silaha kwa tawala zinazokiuka haki za binadamu
Jul 24, 2021 10:18Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Righs Watch limemtaka Rais Joe Biden wa Marekani asitishe uuzaji wa silaha kwa wakiukaji wa haki za binadamu zikiwemo tawala za Misri na Israel.