Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • ICC yabatilisha waranti wa kukamatwa mke wa aliyekuwa rais wa Kodivaa

    ICC yabatilisha waranti wa kukamatwa mke wa aliyekuwa rais wa Kodivaa

    Jul 30, 2021 12:41

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetupilia mbali waranti wa kukamatwa Simone Gbagbo, mke wa Laurent Gbagbo, rais wa zamani wa Ivory Coast.

  • Mahasimu wakuu wa kisiasa Ivory Coast Rais Ouattara na Laurent Gbagbo wakutana

    Mahasimu wakuu wa kisiasa Ivory Coast Rais Ouattara na Laurent Gbagbo wakutana

    Jul 27, 2021 15:02

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast leo alitazamiwa kukutana na kuzungumza na mtangulizi wake Laurent Gbagbo, ikiwa ni mara ya kwanza tangu vikosi vya wapiganaji watiifu kwao vilipopambana katika mapigano makubwa ya umwagaji damu yaliyosababishwa na mgogoro wa baada ya uchaguzi miaka 10 iliyopita.

  • Wanne wauawa katika shambulio dhidi ya ngome za vikosi vya ulinzi na usalama vya Ivory Coast

    Wanne wauawa katika shambulio dhidi ya ngome za vikosi vya ulinzi na usalama vya Ivory Coast

    Mar 30, 2021 02:35

    Watu wanne wameuawa katika shambulio dhidi ya ngome za vikosi vya ulinzi na usalama vya Ivory Coast.

  • Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko afariki kwa saratini akiwa na umri wa miaka 56

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko afariki kwa saratini akiwa na umri wa miaka 56

    Mar 11, 2021 07:18

    Waziri Mkuu wa Ivory Coast Hamed Bakayoko amefariki dunia kwa maradhi ya saratani katika hospitali moja mjini Freiburg nchini Ujerumani alikokuwa akipatiwa matibabu.

  • Kinara wa upinzani Ivory Coast akamatwa kwa kuunda serikali hasimu

    Kinara wa upinzani Ivory Coast akamatwa kwa kuunda serikali hasimu

    Nov 07, 2020 11:47

    Kiongozi wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani wa Ivory Coast, Pascal Affi N’Guessan amekamatwa na vyombo vya usalama nchini humo kwa kuunda serikali hasimu, siku chache baada ya Tume Huru ya Uchaguzi (CEI) kumtangaza Rais Alassane Ouattara kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 31.

  • Rais Ouattara ashinda uchaguzi wa urais Ivory Coast, wapinzani walisusia

    Rais Ouattara ashinda uchaguzi wa urais Ivory Coast, wapinzani walisusia

    Nov 04, 2020 00:16

    Rais Alassane Ouattara ameibuka mshindi katika uchaguzi wa rais nchini Ivory Coast huku wapinzani walioususia uchaguzi huo wakisema wataunda serikali ya mpito.

  • Outtara (78) ashinda muhula tata wa tatu wa urais Ivory Coast kwa 94%

    Outtara (78) ashinda muhula tata wa tatu wa urais Ivory Coast kwa 94%

    Nov 03, 2020 07:13

    Tume ya Uchaguzi ya Ivory Casot imemtangaza Rais wa sasa wa nchi hiyo, Alassane Ouattara kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumamosi iliyopita.

  • Waivory Coast wanachagua rais leo, hali inatajwa kuwa tete

    Waivory Coast wanachagua rais leo, hali inatajwa kuwa tete

    Oct 31, 2020 11:59

    Mamilioni ya wananchi wa Ivory Coast wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura hii leo Jumamosi katika uchaguzi wa rais huku kukiwepo wasiwasi wa kutokea ghasia na machafuko makubwa baada ya kambi ya upinzani kutoa wito wa kususiwa uchaguzi huo.

  • Wapinzani Ivory Coast waitisha uasi wa kijamii kipinga muhula wa tatu wa Ouattara

    Wapinzani Ivory Coast waitisha uasi wa kijamii kipinga muhula wa tatu wa Ouattara

    Sep 21, 2020 11:18

    Wapinza wa serikali ya Ivory Coast wametoa wito wa kufanyika uasi wa kijamii kote nchini humo wakipinga azma ya rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara ya kugombea tena kiti hicho kwsa muhula wa tatu.

  • Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Sep 15, 2020 03:35

    Baraza la Katiba la Ivory Coast limemuidhinisha Rais Alassane Outtara kugombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS