-
Wapinzani waendelea kupinga Ouattara kugombea tena urais Ivory Coast
Sep 09, 2020 11:41Wapinzani nchini Kodivaa wamendelea kupinga na kulalamikia hatua ya Rais Alassane Outtara ya kuamua kugombea tena urais nchini humo.
-
Watu wawili wauawa Ivory Coast baada Ouatarra kutangaza kugombea tena urais
Aug 24, 2020 07:15Watu wawili wameuwawa katika machafuko ya kikabila nchini Ivory Coast baada ya rais Alassane Ouattara kutangaza kwamba atawania muhula wa tatu madarakani.
-
Alassane Ouattara kugombea kiti cha urais Kodivaa kwa mara ya tatu
Aug 24, 2020 02:31Mkutano wa kumuarifisha Alassane Ouattara kama mgombea wa kiti cha rais katika uchaguzi ujao nchini Ivory Coast umefanyika katika mji wa nchi hiyo, Abdijan.
-
Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara
Aug 15, 2020 10:04Makundi na vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimeendelea kupinga vikali uamuzi wa rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara wa kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu mfululizo.
-
Upinzani Ivory Coast: Muhula wa tatu wa urais wa Ouattara utaibua machafuko nchini
Aug 08, 2020 04:24Uamuzi wa Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu unakiuka katiba na utasababisha machafuko katika nchi hiyo ambayo bado inajikwamua kutoka kwenye vita vya ndani. Hayo yalielezwa jana Ijumaa na mrengo wa upinzani.
-
Ouattara ateuliwa na chama chake kuwani tena urais Ivory Coast
Jul 30, 2020 10:49Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ameteuliwa tena na chama chake kuwania urais kwa muhula wa tatu ingawa binafsi hajachukua uamuzi kuhusu jambo hilo.
-
Ivory Coast yamtia nguvuni kiongozi wa kundi lililofanya shambulizi la tarehe 10 Juni
Jun 23, 2020 02:29Ivory Coast imetangaza kuwa imemtia nguvuni mkuu wa kundi la makomando waliofanya shambulio la Juni 10 ambalo liliwauwa askari wasiopungua 10 kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Watu wasiopungua 13 wafariki dunia katika maporomoko ya udongo Ivory Coast
Jun 19, 2020 12:07Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia na wengine wengi hawajulikani waliko kufuatia tukio la maporomoko ya udongo huko Anyama, katika moja ya viunga vya kaskazini mwa mji wa Abidjan, nchini Ivory Coast.
-
Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 10 wa Ivory Coast
Jun 12, 2020 02:33Kwa akali askari 10 wa Jeshi la Ivory Coast wameuawa katika shambulizi la genge moja la wanamgambo katika mpaka wa nchi hiyo na Burkina Faso.
-
Kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Jenerali Soleimani chafanyika Kodivaa
Jan 14, 2020 13:10Waislamu wa Ivory Coast wamefanya kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na mashahidi wenzake waliouawa hivi karibuni na askari magaidi wa Marekani nchini Iraq.