Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Kiongozi wa zamani wa waasi Ivory Coast atuhumiwa kwa njama ya mapinduzi

    Kiongozi wa zamani wa waasi Ivory Coast atuhumiwa kwa njama ya mapinduzi

    Dec 27, 2019 07:21

    Mwendesha Mashtaka wa serikali ya Ivory Coast amemtuhumu Guillaume Soro kiongozi wa zamani wa waasi nchini humo kwa kupanga njama ya mapinduzi; kitendo ambacho huenda kikampelekea mwanasiasa huyo kupigwa marufuku kugombea kiti cha urais mwakani.

  • Rais wa Ivory Coast: Nitagombea tena urais kwa muhula wa tatu ikiwa marais wa zamani pia watawania

    Rais wa Ivory Coast: Nitagombea tena urais kwa muhula wa tatu ikiwa marais wa zamani pia watawania

    Dec 01, 2019 13:01

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema, atawania tena urais kwa muhula wa tatu mfululizo endapo watangulizi wake pia wataamua kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huo utakaofanyika mwakani, na ambao unatajwa kama kipimo muhimu cha kutathmini uthabiti wa nchi hiyo baada ya kukumbwa na vita vya ndani mara mbili katika karne hii ya 21.

  • Rais wa Ivory Coast atoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi Iran kuwekeza nchini humo

    Rais wa Ivory Coast atoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi Iran kuwekeza nchini humo

    Nov 16, 2019 02:45

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ametoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi ya Iran kwenda kuwekeza nchini humo katika nyanja mbali mbali.

  • Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Sep 30, 2019 02:37

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema ana hamu kubwa ya kukabidhi madaraka kwa kizazi cha sasa cha vijana katika uchaguzi wa rais wa mwakani.

  • 51 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katikati mwa Kodivaa

    51 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila katikati mwa Kodivaa

    May 17, 2019 13:36

    Polisi ya Kodivaa (Ivory Coast) imeripoti kuwa watu 51 wameuawa na kujeruhiwa katikamapigano ya kikabila katikati mwa nchi hiyo.

  • Kodivaa kuongeza idadi ya askari wake wa kulinda amani nchini Mali

    Kodivaa kuongeza idadi ya askari wake wa kulinda amani nchini Mali

    Apr 27, 2019 07:42

    Rais wa Ivory Coast ametangaza kuwa nchi yake itatuma mamia ya askari zaidi kwenda kujiunga na Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali (MINUSMA).

  • ICC yamwachia huru rais wa zamani wa Kodivaa baada ya vuta nikuvute

    ICC yamwachia huru rais wa zamani wa Kodivaa baada ya vuta nikuvute

    Feb 02, 2019 12:44

    Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemwachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo baada ya vuta nikuvute kati ya mawakili wa mwanasiasa huyo na Waendesha Mashitaka wa ICC.

  • ICC kumuachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast kwa sharti

    ICC kumuachia huru rais wa zamani wa Ivory Coast kwa sharti

    Feb 01, 2019 13:36

    Waendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wamekubali ombi la kuachiwa huru rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagbo lakini kwa sharti kwamba asirejee katika nchi yake.

  • ICC yamuachiliwa huru rais wa zamani wa Kodivaa Laurent Gbagbo

    ICC yamuachiliwa huru rais wa zamani wa Kodivaa Laurent Gbagbo

    Jan 15, 2019 14:33

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imemuondoa hatiani na kumuachilia huru rais wa zamani wa Kodivaa Laurent Gbabgo ambaye alikuwa anakabiliwa na tuhuma za kuhusika katika ghasia za baada ya uchaguzi katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Majaji wa mahakama ya ICC wasikiliza kesi ya Gbagbo

    Majaji wa mahakama ya ICC wasikiliza kesi ya Gbagbo

    Oct 01, 2018 14:52

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) leo wamesikiliza matakwa ya Rais wa zamani wa Ivory Coast anayekabiliwa na kesi ya kufanya jinai dhidi ya binadamu ambaye ametaka kesi hiyo ifungwe kutokana na kukosekana ushahidi dhidi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS