Apr 10, 2019 14:36
Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.