Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Wanamuqawama wa Yemen wavurumisha makombora 4 ya Zilzal-1 kwenye ngome za askari wa Saudia

    Jul 27, 2019 04:12

    Jeshi na kamati za wananchi nchini Yemen limevurumisha makombora manne aina ya Zilzal-1 kwenye ngome za vibaraka wa muungano vamizi wa Saudia katika mikoa ya Aseer na Najran kusini mwa Saudia.

  • Mjumbe wa AU: Pande hasimu Sudan kusaini makubaliano ya kisiasa leo

    Mjumbe wa AU: Pande hasimu Sudan kusaini makubaliano ya kisiasa leo

    Jul 13, 2019 01:09

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wanatazamiwa kusaini makubaliano ya kisiasa leo Jumamosi, saa chache baada ya jeshi hilo kutangaza kuwa limezima jaribio la mapinduzi.

  • Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Pande hasimu za Sudan zakubaliana kugawana madaraka

    Jul 05, 2019 02:55

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameafikiana juu ya suala la kugawana madaraka katika kipindi cha mpito kuelekea katika uchaguzi.

  • Pande mbili hasimu nchini Sudan zaanza tena mazungumzo ya ana kwa ana

    Pande mbili hasimu nchini Sudan zaanza tena mazungumzo ya ana kwa ana

    Jul 04, 2019 07:29

    Wawakilishi wa Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan na muungano wa upinzani wa Uhuru na Mabadiliko wameanza tena mazungumzo ya moja kwa moja juu ya kipindi cha mpito baada ya kusitiishwa mazungumzo hayo kwa mwezi mzima kufuatia mauaji yaliyofanywa na jeshi la Sudan dhidi ya zaidi ya waandamanaji 100 mbele ya makao ya jeshi mjini Khartoum.

  • Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Jun 14, 2019 07:28

    Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abha wa kusini mwa Saudi Arabia umeshambuliwa tena na jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen.

  • Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    May 28, 2019 07:54

    Kituo cha Upatanishi cha Russia nchini Syria kimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limevunja shambulizi la magaidi wa Jabhat al Nusra kaskazini mwa mkoa wa Hama na kuangamiza magaidi wasiopungua 100 walioshambulia vituo vya jeshi hilo.

  • Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    Wapinzani Sudan waitisha mgomo wa nchi nzima, wasema mazungumzo yamefeli

    May 21, 2019 13:30

    Viongozi wa upinzani nchini Sudan wametoa mwito wa kufanyika mgomo wa nchi nzima, wakisisitiza kuwa vikao viwili vya mazungumzo vya juzi na jana jioni vimeshindwa kupatia ufumbuzi hitilafu zilizopo baina ya pande mbili.

  • Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai

    May 17, 2019 02:32

    Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Amri ya Kim Jong-un ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la Korea Kaskazini

    Amri ya Kim Jong-un ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la Korea Kaskazini

    May 12, 2019 10:27

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuimarishwa uwezo wa jeshi la nchi hiyo kwa ajili ya kukabiliana na adui.

  • Kim Jong-un atoa amri ya kuongezwa uwezo zaidi wa hamasa ya jeshi la Korea Kaskazini kumkabili adui

    Kim Jong-un atoa amri ya kuongezwa uwezo zaidi wa hamasa ya jeshi la Korea Kaskazini kumkabili adui

    May 11, 2019 14:35

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri kwa viongozi wote wa nchi hiyo kuinua uwezo wa hamasa wa jeshi kwa ajili ya kukabiliana na adui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS