Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq

    Apr 21, 2019 06:39

    Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Udugu wa Jeshi na IRGC ni harakati maridadi baada ya hatua chafu ya Marekani

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Udugu wa Jeshi na IRGC ni harakati maridadi baada ya hatua chafu ya Marekani

    Apr 17, 2019 13:56

    Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote ya Iran amesema umoja unaozidi kuimarika wa majeshi y Iran ni jambo ambalo limemkasirisha adui na kuongeza: "Mkondo wa udugu kati ya Jeshi la Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ni harakati maridadi baada ya harakati chafu ya Marekani."

  • Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Uungaji mkono wa jeshi la Venezuela kwa mpango wa Rais Maduro wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo

    Apr 10, 2019 14:36

    Mgogoro wa kisiasa nchini Venezuela uliibuka tangu tarehe 10 Januari mwaka huu, wakati Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo aliposhinda kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili na kuapishwa kuwa rais wa taifa hilo la Amerika ya Latini, katika uchaguzi ambao ulisusiwa na wapinzani.

  • Jeshi la Syria laangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra mkoani Hama

    Jeshi la Syria laangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra mkoani Hama

    Mar 19, 2019 15:03

    Wanajeshi wa Syria wameshambulia na kuangamiza maficho ya magaidi wa Jabhat al Nusra katika viunga vya mkoa wa Hama wa magharibi mwa nchi hiyo.

  • Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Mar 17, 2019 16:55

    Duru za habari za Syria zimetangaza kuwa raia kumi wa nchi hiyo wamuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani huko mashariki mwa Syria.

  • Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Mar 09, 2019 07:31

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuwastaafisha maafisa kadhaa wa jeshi la nchi hiyo.

  • Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Feb 23, 2019 07:41

    Vikosi vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinadhibiti kikamilifu hali ya mambo na viko tayari kukabiliana na vitisho katika eneo.

  • Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro

    Jeshi la Venezuela latangaza tena utiifu wake kwa Rais Maduro

    Feb 21, 2019 02:55

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela ametangaza tena utiifu wake na vikosi vya majeshi ya nchi hiyo kwa Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo na kusema kuwa, makamanda na wanajeshi wa nchi hiyo wanafuata na kuutii amri ya Rais Maduro na wataendelea kusimama naye bega kwa bega hadi tone la mwisho la damu yao.

  • Silaha za Marekani na magaidi wa Israel zapatikana Syria

    Silaha za Marekani na magaidi wa Israel zapatikana Syria

    Feb 19, 2019 08:00

    Askari usalama wa Syria wamenasa idadi kubwa ya silaha za Marekani na Israel zinazomilikiwa na magaidi huko Rif-Dimashq.

  • Buhari: Jeshi litakabiliana vikali na hatua za kukwamisha uchaguzi ulioakhirishwa

    Buhari: Jeshi litakabiliana vikali na hatua za kukwamisha uchaguzi ulioakhirishwa

    Feb 19, 2019 07:53

    Rais Muhammadu Buhari ametahadharisha kuwa yoyote anayejaribu kuzuia uchaguzi wa rais ulioakhirishwa nchini humo anahatarisha maisha yake. Rais wa Nigeria ameituhumu pia Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo kwa kutofanya kazi kwa mujibu wa sheria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS