Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Rais wa Kenya akutana na Raila, viongozi wa Muungano wa Kenya Moja, ajenda ni uchaguzi wa rais 2022

    Rais wa Kenya akutana na Raila, viongozi wa Muungano wa Kenya Moja, ajenda ni uchaguzi wa rais 2022

    Aug 10, 2021 08:00

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Jumanne ya leo amekutana na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga na wakuu wa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) Ikulu huko Mombasa.

  • Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Chama tawala Uganda chakanusha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Kenya

    Aug 08, 2021 03:28

    Chama tawala nchini Uganda cha National Resistance Movement (NRM) kinachoongozwa na Rais Yoweri Museveni kimekishutumu vikali chama kikuu cha upinzani nchini Kenya ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, kwa kudai kuwa kinalenga kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kuibua machafuko ya uchaguzi nchini humo.

  • Roboti wapima Covid-19 na kunyunyiza dawa katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, Kenya

    Roboti wapima Covid-19 na kunyunyiza dawa katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta, Kenya

    Aug 04, 2021 03:04

    Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP nchini Kenya linaendesha programu ya majaribio ya kutumia roboti katika kupima afya za wasafiri wanaoingia na kutoka katika uwanja wa ndege wa kimataifa Jomo wa Kenyatta jijini Nairobi pamoja na Hospitali Kuu ya Taifa ya Kenyatta lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kuwapunguzia mzigo watendaji wa sekta ya afya.

  • Wandani wa Naibu Rais wa Kenya wakasirishwa na kuzuiwa kwake kutoka nje ya nchi, wasema amedhalilishwa

    Wandani wa Naibu Rais wa Kenya wakasirishwa na kuzuiwa kwake kutoka nje ya nchi, wasema amedhalilishwa

    Aug 03, 2021 12:14

    Kuzuiliwa kwa Naibu Rais wa Kenya, William Ruto Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta (JKIA) jijini Nairobi kusafiri kwenda Uganda kumewakera wandani wake.

  • Balozi Barmaki: Iran na Kenya ziko katika mkondo wa kustawisha uhusiano wa kiuchumi

    Balozi Barmaki: Iran na Kenya ziko katika mkondo wa kustawisha uhusiano wa kiuchumi

    Jul 31, 2021 09:12

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Nairobi Kenya amesema kuwa, Kenya ni nchi muhimu sana kwa Iran na kusisitiza kwamba, siku zote kumekuwa kukifanyika juhudi za kuhakikisha uhusiano wa pande mbili unakua na kuchukua wigo mpana zaidi.

  • Uchunguzi: Wanasiasa waliojitokeza kuwania kiti cha rais 2022 hawana jipya kwa Wakenya

    Uchunguzi: Wanasiasa waliojitokeza kuwania kiti cha rais 2022 hawana jipya kwa Wakenya

    Jul 29, 2021 05:58

    Tathmini ya rekodi za kisiasa iliyofanyika huko Kenya inaonyesha kuwa wanasiasa wakuu wanne waliotangaza nia ya kuwania urais mwaka ujao hawana kipya cha kuwafaa Wakenya.

  • Marais wa Tanzania na Kenya wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Marais wa Tanzania na Kenya wamtumia salamu za pongezi Rais mteule wa Iran

    Jul 24, 2021 03:38

    Marais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kenya wamemtumia ujumbe Ayatullah Ibrahim Raesi wakimpongeza kwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa mwezi uliopita wa Rais hapa nchini.

  • 13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    13 wapoteza maisha Kenya baada la lori la petroli kulipuka

    Jul 18, 2021 09:47

    Watu 13 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati lori la mafuta lilipoanguka na kuripuka, magharibi mwa Kenya.

  • Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Kenya yatuma wanajeshi wake DRC kujiunga na MONUSCO

    Jun 16, 2021 07:54

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetuma askari wake wa Kikosi cha Radiamali ya Haraka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwenda kusaidia jitihada za kupambana na magenge ya kigaidi na makundi yanayobeba silaha.

  • Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Baada ya US kuondoa askari wake Somalia, sasa yawatuma Kenya

    Jun 13, 2021 22:02

    Rais wa Marekani, Joe Biden ametangaza kuwa serikali yake itatuma vikosi maalumu vya wanajeshi nchini Kenya, eti kwenda kusaidia juhudi za kupambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la al-Shabaab.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS