Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    Tanzania yaonya kuhusu Corona ya India, spishi hiyo yaripotiwa Kenya na Uganda

    May 07, 2021 03:29

    Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimetadharisha juu ya kuibuka na kuenea kwa spishi mpya ya ugonjwa wa Covid-19 ya India katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    Somalia yahuisha uhusiano wake na Kenya baada ya kupita karibu nusu mwaka

    May 07, 2021 03:15

    Somalia imetangaza habari ya kurejesha uhusiano wake na Kenya baada ya kuukata karibu miezi sita iliyopita, ikiituhumu serikali ya Nairobi kuwa inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    May 04, 2021 10:30

    Kenya na Tanzania zimefikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi aina ya LPG kutoka Dar es Salaam kwenda Mombasa.

  • Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    Mei Mosi: Janga la Corona limeathiri sekta ya ajira Afrika Mashariki

    May 01, 2021 08:55

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema licha ya matamanio yake ya kuongeza mishahara, Serikali haiwezi kufanya hivyo kwa sasa kutokana na changamoto kadhaa ikiwemo mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

  • Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi

    Kamati za Bunge la Kenya zatuhumiwa kula rushwa na kufanya ufisadi

    Apr 13, 2021 09:12

    Kamati za Bunge la Kenya zimetuhumiwa kuwa zinakula rushwa na kuhusika na ufisadi kutokana na wabunge wanaosimamia kamati hizo kufumbia macho uhalifu na mashtaka yanayowasishwa mkabala wa kula rushwa na kupokea hongo.

  • UN yaingilia kati mpango wa Kenya wa kufunga kambi kuu za wakimbizi

    UN yaingilia kati mpango wa Kenya wa kufunga kambi kuu za wakimbizi

    Apr 10, 2021 03:42

    Shirika la Kuhudumua Wambizi la Umoja wa Mataifa UNCHR kupitia taarifa iliyotolewa jana mjini Geneva Uswisi, limetangaza kushirikiana na Kenya na kuweka mapendekezo ya hatua za kuchukua ili kupata suluhisho kwa mgogoro wa wakimbizi wanaoishi katika kambi za Dadaab na Kakuma za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • Iran yaipa Kenya msaada wa vifaa vya kupambana na Corona

    Iran yaipa Kenya msaada wa vifaa vya kupambana na Corona

    Apr 02, 2021 22:16

    Kenya imepokea msaada wa suhula za matibabu na vifaa vya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Serikali: Wakenya milioni 1.4 wanasumbuliwa na njaa

    Serikali: Wakenya milioni 1.4 wanasumbuliwa na njaa

    Apr 01, 2021 07:39

    Msemaji wa serikali ya Kenya amesema kwa akali Wakenya milioni moja na laki nne wanasumbuliwa na njaa.

  • UNHCR yaisihi Kenya ichukue uamuzi wa busara kuhusu hatima ya wakimbizi walioko nchini humo

    UNHCR yaisihi Kenya ichukue uamuzi wa busara kuhusu hatima ya wakimbizi walioko nchini humo

    Mar 25, 2021 22:25

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limeisihi serikali ya Kenya ihakikishe kwamba maamuzi yoyote itakayofanya kuhusu kambi za wakimbizi zilizoko nchini humo yanakuwa ni suluhu endelevu kwa wakimbizi hao.

  • Naibu Rais wa Kenya, Ruto asema yuko tayari kukihama chama tawala na kujiunga na Raila au UDA

    Naibu Rais wa Kenya, Ruto asema yuko tayari kukihama chama tawala na kujiunga na Raila au UDA

    Mar 25, 2021 06:58

    Naibu Rais wa Kenya William Ruto amesema leo Alhamisi kwa mara ya kwanza kwamba yuko tayari kukihama chama tawala cha Jubilee na kujiunga na chama United Democratic Alliance (UDA) kwa ajili ya uchaguzi wa urais wa 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS