Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Kenya yazindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kupambana na corona

    Kenya yazindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kupambana na corona

    Mar 05, 2021 08:54

    Kenya hii leo imezindua kampeni ya kitaifa ya chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19, huku Patrick Amoth, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Afya akiwa Mkenya wa kwanza kuchanjwa katika ardhi ya nchi hiyo.

  • "Unga mkono serikali au jiuzulu", Uhuru amwambia Naibu Rais William Ruto

    Feb 12, 2021 09:24

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo Ijumaa amemtaka Naibu Rais William Ruto ajiuzulu, akisema mtu hawezi "kutukana watu" wakati pia anajivunia mafanikio ya serikali.

  • Waislamu wa Kenya waijia juu serikali kwa kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83

    Waislamu wa Kenya waijia juu serikali kwa kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83

    Feb 08, 2021 08:52

    Viongozi na wanaharakati wa Kiislamu nchini Kenya wamekosoa vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kupitia Shirika la Reli kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83 katika kaunti ya Kisumu, magharibi mwa nchi.

  • Mmishonari wa Marekani afungwa miaka 15 kwa kunajisi mayatima Kenya

    Mmishonari wa Marekani afungwa miaka 15 kwa kunajisi mayatima Kenya

    Feb 05, 2021 08:15

    Raia wa Marekani ambaye alikuwa anafanya kazi kama mmishonari nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 15 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi mabinti mayatima.

  • Iran na Kenya zasisitiza kupanuliwa ushirikiano kati ya mashirika ya teknolojia ya nchi mbili

    Iran na Kenya zasisitiza kupanuliwa ushirikiano kati ya mashirika ya teknolojia ya nchi mbili

    Jan 29, 2021 09:41

    Makamu wa Rais wa Iran anayeshughulikia masuala ya sayansi na teknolojia, Dakta Sorena Sattari amesisitiza kupanuliwa ushirikiano wa kiteknolojia kati ya mashirika ya Iran na Kenya.

  • Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Iran yazindua 'Jumba la Ubunifu na Teknolojia' Nairobi, Kenya

    Jan 28, 2021 00:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuzinduliwa Kituo cha Ubunifu na Teknolojia cha Iran (IHIT) katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi kumefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya Iran na Kenya na hata nchi nyingine za kanda ya Afrika Mashariki.

  • 9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli

    9 wauawa katika mpaka wa Kenya na Somalia, AU yatoa kauli

    Jan 26, 2021 07:28

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema amani katika mpaka wa Kenya na Somalia ni jambo muhimu kwa ajili ya uthabiti wa eneo zima la Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika.

  • Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Jan 23, 2021 01:36

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuanzisha kituo kikubwa cha ubunifu na teknolojia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikiwa ni katika mkakati wa kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili rafiki.

  • Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Dec 27, 2020 20:51

    Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) jana Jumapili kilishambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika Msitu wa Boni kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya na kuangamiza wanachama kadhaa wa genge hilo.

  • Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Dec 23, 2020 08:53

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye makao yake nchini Somalia limekiri kuwa ndilo lililomteka nyara na kumuua kwa kumkata kichwa chifu mmoja wa kaunti ya Wajir, huko kaskazini mashariki mwa Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS