-
Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD
Dec 22, 2020 21:24Somalia imeafiki kurejesha uhusiano wake na Kenya kufuatia mashinikizo ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Mashariki mwa Afrika na pembe ya Afrika IGAD.
-
AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao
Dec 21, 2020 04:53Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.
-
Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19
Dec 18, 2020 04:18Idadi kubwa ya viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejiweka karantini baada ya kutangamana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ambaye pia amejitenga kwa muda wa siku saba baada ya kukutwa na virusi vya corona.
-
Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya
Dec 15, 2020 09:54Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.
-
Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani
Dec 15, 2020 04:38Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya
Dec 09, 2020 08:42Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo ametembelea Kenya na kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo katika ufunguzi wa kituo kipya cha mpakani cha Moyale katika Kaunti ya Marsabit.
-
Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi
Nov 30, 2020 08:06Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.
-
Rais Uhuru ahutubia taifa huku akiahidi mustakbali mwema wa nchi
Nov 12, 2020 10:57Rais Uhuru Kenya wa Kenya leo Alhamisi amehutubia taifa kwa mara ya saba bungeni jijini Nairobi akiwaambia Wakenya kwamba taifa hilo lingali lina nguvu, jasiri na lenye matarajio ya mustakbali mwema.
-
Walioathiriwa kiuchumi na corona Mombasa, Kenya kupata msaada wa kifedha
Oct 31, 2020 23:28Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kwa kushirikiana na serikali ya Kenya limezindua mpango wa ugawaji fedha taslimu kwa familia 24,000 mjini Mombasa, Kenya katika makazi yasiyo rasmi ambao maisha yao yamesambaratika kiuchumi kutokana na janga la COVID-19 au corona.
-
Magoha: Kesi mpya za Covid-19 hazitapelekea kufungwa shule Kenya
Oct 23, 2020 12:07Waziri wa Elimu wa Kenya George Magoha amekataa suala la kufungwa shule kwa sababu ya kesi mpya za Covid-19 zilizoripotiwa kati ya wanafunzi na walimu baada ya wanafunzi wa darasa la 4, darasa la 8 na Kidato cha Nne kurejea mashuleni.