Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Dec 22, 2020 21:24

    Somalia imeafiki kurejesha uhusiano wake na Kenya kufuatia mashinikizo ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Mashariki mwa Afrika na pembe ya Afrika IGAD.

  • AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    Dec 21, 2020 04:53

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.

  • Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Viongozi wa EU wajitenga baada ya kutagusana na Macron mwenye Covid-19

    Dec 18, 2020 04:18

    Idadi kubwa ya viongozi wa Umoja wa Ulaya wamejiweka karantini baada ya kutangamana na Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron ambaye pia amejitenga kwa muda wa siku saba baada ya kukutwa na virusi vya corona.

  • Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Dec 15, 2020 09:54

    Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Dec 15, 2020 04:38

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Dec 09, 2020 08:42

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo ametembelea Kenya na kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo katika ufunguzi wa kituo kipya cha mpakani cha Moyale katika Kaunti ya Marsabit.

  • Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Nov 30, 2020 08:06

    Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.

  • Rais Uhuru ahutubia taifa huku akiahidi mustakbali mwema wa nchi

    Rais Uhuru ahutubia taifa huku akiahidi mustakbali mwema wa nchi

    Nov 12, 2020 10:57

    Rais Uhuru Kenya wa Kenya leo Alhamisi amehutubia taifa kwa mara ya saba bungeni jijini Nairobi akiwaambia Wakenya kwamba taifa hilo lingali lina nguvu, jasiri na lenye matarajio ya mustakbali mwema.

  • Walioathiriwa kiuchumi na corona Mombasa, Kenya kupata msaada wa kifedha

    Walioathiriwa kiuchumi na corona Mombasa, Kenya kupata msaada wa kifedha

    Oct 31, 2020 23:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kwa kushirikiana na serikali ya Kenya limezindua mpango wa ugawaji fedha taslimu kwa familia 24,000 mjini Mombasa, Kenya katika makazi yasiyo rasmi ambao maisha yao yamesambaratika kiuchumi kutokana na janga la COVID-19 au corona.

  • Magoha: Kesi mpya za Covid-19 hazitapelekea kufungwa shule Kenya

    Magoha: Kesi mpya za Covid-19 hazitapelekea kufungwa shule Kenya

    Oct 23, 2020 12:07

    Waziri wa Elimu wa Kenya George Magoha amekataa suala la kufungwa shule kwa sababu ya kesi mpya za Covid-19 zilizoripotiwa kati ya wanafunzi na walimu baada ya wanafunzi wa darasa la 4, darasa la 8 na Kidato cha Nne kurejea mashuleni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS