-
Usalama wa chakula Afrika unategemea misimamo ya tawala za nchi za bara hilo
Oct 11, 2017 23:18Kituo cha Afrika cha Mabadiliko ya Kiuchumi ACET kimesema kuwa, njia ya kuleta mapinduzi katika kudhamini usalama wa chakula barani humo ni kwa serikali zilizoko madarakani kubadilisha sera zao na kuwaandalia vijana fursa nzuri za kilimo pamoja na kutumia teknolojia za kisasa katika sekta hiyo.
-
Watu 33 wauawa katika mapigano ya wakulima na wafugaji nchini Nigeria
Jul 21, 2017 03:33Watu 33 wameripotiwa kupoteza maisha katika mapigano makali baina ya wakulima na wafugaji, katikati mwa Nigeria.
-
Nchi za Afrika zasisitiza ulazima wa kuleta mageuzi katika sekta ya kilimo barani humo
Sep 08, 2016 03:30Viongozi wa nchi za Kiafrika wanaokutana katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi wamekubaliana kuboresha hali ya sekta ya kilimo na kuongeza kiwango cha usalama wa chakula barani humo.