Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Sisitizo la viongozi wa Korea Kaskazini kuhusu kuimarisha uwezo wa kijeshi

    Sisitizo la viongozi wa Korea Kaskazini kuhusu kuimarisha uwezo wa kijeshi

    Jan 13, 2022 09:13

    Kiongozi wa Korea Kaskazini ametaka uwezo wa kijeshi wa nchi hiyo uzidi kuimarishwa. Vyombo vya habari vya Pyongyang vimetangaza kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili ameshiriki na kusimamia mazoezi ya makombora ambayo yamefanyika kwa mafanikio.

  • Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Jan 06, 2022 02:49

    Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.

  • Muqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio kwa mafanikio kombora la Qassem-10

    Muqawama wa Palestina Gaza wafanyia majaribio kwa mafanikio kombora la Qassem-10

    Dec 28, 2021 02:47

    Kundi la Kataaibul-Muqaawamatil-Wat'aniyyah la Palestina limetangaza kuwa limelifanyia majaribio kwa mafanikio kombora lililotengenezwa na wanamuqawama la "Qassem-10" huko Ukanda wa Gaza.

  • Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Israel: Hizbullah ina uwezo wa kutupiga kwa maelfu ya makombora kila siku

    Nov 04, 2021 12:02

    Kamanda wa Operesheni za Kambi ya Ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa, harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ina uwezo mkubwa wa makombora ambao unaiwezesha kuushambulia utawala wa Kizayuni kwa maelfu ya makombora kila siku kama vita baina ya pande hizo mbili vitatokea.

  • Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    May 11, 2021 07:42

    Wapalestina wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wamefanya maandamano ya kutangaza kufurahishwa kwao na Wapalestina wenzao wa Ghaza kwa kuguswa na hali yao na kujibu jinai za Wazayuni huko Quds kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni.

  • Israel yaishambulia Syria baada ya hujuma karibu na kituo cha nyuklia cha Dimona

    Israel yaishambulia Syria baada ya hujuma karibu na kituo cha nyuklia cha Dimona

    Apr 22, 2021 11:12

    Jeshi la Anga la Syria limetungua makombora ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuwa yamelenga eneo moja la Damascus.

  • Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Mar 10, 2021 07:15

    Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, makombora ya balestiki ya nchi hiyo ni jinamizi kwa maadui.

  • Iran yazindua kombora jipya la balestiki lifikalo umbali wa kilomita 700 baharini

    Iran yazindua kombora jipya la balestiki lifikalo umbali wa kilomita 700 baharini

    Sep 27, 2020 13:06

    Kombora jipya la balestiki la baharini lililoundwa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC liitwalo Zulfiqar Basir limezinduliwa leo katika maonyesho ya uwezo wa kistratejia ya vikosi vya anga za mbali vya jeshi hilo.

  • Setilaiti ya Nour; mdhamini wa maslahi ya amani ya Iran katika anga za mbali

    Setilaiti ya Nour; mdhamini wa maslahi ya amani ya Iran katika anga za mbali

    Apr 25, 2020 04:03

    Kurushwa kwa mafanikio katika anga za mbali setilaiti ya Nour-1 kupitia kombora la kurushia setilaiti la Qased, na setilaiti hiyo kuanza kufanya kazi zake huko, ni suala ambalo limekabiliwa na radiamali ya kisiasa na madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi ya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.

  • Iran yazindua kombora jipya la 'Raad 500'

    Iran yazindua kombora jipya la 'Raad 500'

    Feb 09, 2020 12:10

    Iran imezindua kombora jipya linalojulikana kama 'Raad 500' ambalo linatumia injini aina ya kompositi inayojulikana kama 'Zahir' sambamba na kuzindua kizazi kipya cha makombora ya kijeshi na makombora ya kubeba satalaiti. Uzinduzi huo umehudhuriwa na Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hussein Salami.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS