-
Jinamizi la kuendelea kupigwa Saudia kwa makombora ya Wayemen
Jun 13, 2018 06:37Turki al Maliki, msemaji wa muungano vamizi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen ametangaza kuwa hadi sasa Wayemen wameshavurumisha makombora 149 upande wa Saudia.
-
Makombora ya Yemen yaulenga mji mkuu wa Saudia, Riyadh
May 10, 2018 02:26Wanajeshi wa Yemen wametumia makombora yaliyoundwa nchini humo kushambulia maeneo kadhaa ya kijeshi na kiuchumi ya Saudia Arabia ukiwemo mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh.
-
Syria: Hivi sasa tuna uwezo mkubwa wa kutungua makombora ya adui
Apr 17, 2018 14:21Mshauri wa Rais Bashar al-Assad wa Syria, Bouthaina Shaaban amesema kuwa, jeshi la Syria limethibitisha uwezo mkubwa wa makombora yake hasa baada ya kukabiliana vilivyo na shambulizi la hivi karibuni la Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Syria latungua makombora 9 yaliyolenga viwanja vya ndege vya kijeshi
Apr 17, 2018 03:48Jeshi la Syria mapema leo asubuhi limetungua makombora tisa ambayo yalikuwa yamelenga viwanja vya ndege vya kijeshi vya Shayrat mkoani Homs na Al Dumayr katika viunga vya mji mkuu Damascus.
-
Iran, Russia zatoa onyo kali baada ya US, UK na Ufaransa kuvurumisha makombora Syria
Apr 14, 2018 07:15Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia zimelaani vikali mashambulizi ya makombora ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria huku zikitoa onyo kali juu ya matokeo mabaya ya hujuma hiyo ya kijeshi dhidi ya nchi huru.
-
Marekani yaiuzia Qatar makombora 5000 huku mgogoro na Saudia ukitokota
Apr 11, 2018 04:35Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangza idhini ya kuiuzia Qatar makombora 5000 yenye thamani ya dola milioni 300 huku mgogoro baina ya nchi hiyo ndogo na Saudia ukizidi kutokota.
-
Ansarullah ya Yemen yavurumisha kombora katika kambi ya Jeshi la Saudia huko Najran
Mar 31, 2018 15:13Kitengo cha Makombora cha Harakati ya Ansarullah ya Yemen kimetangaza kuwa kimevurumisha kwa mafanikio kombora la balistiki ambalo limelenga kituo cha Jeshi la Saudia katika mkoa wa Najran kusini mwa ufalme huo.
-
Ufaransa yataka kusimamishwa mpango wa makombora wa Iran
Mar 08, 2018 15:59Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema anachukua hatua kadhaa kwa lengo la kuhakikisha mpango wa makombora ya balisitiki wa Iran unasimamishwa.
-
Sharti la Kufanya Mazungumzo Kuhusu Makombora ya Iran ni Kuangamizwa Makombora ya Masafa Marefu ya Marekani na Ulaya
Mar 03, 2018 16:22Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sharti la kufanya mazungumzo kuhusu makombora ya Iran ni kuangamizwa silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu ya Marekani na Ulaya.
-
Madai ya ovyo ya Marekani na kuzidi kuchanganyikiwa White House
Jan 31, 2018 07:28Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, serikali ya Donald Trump nchini Marekani imeongeza uadui wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.