-
Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden: Israel inayo makombora ya nyuklia
Jan 24, 2018 07:56Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden Carl Bildt ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba: Israel inayo makombora ya kisasa ya balistiki yenye uwezo wa kinyuklia.
-
Kombora la Yemen laua mamluki 35 wa Saudia mkoani Taizz
Jan 23, 2018 07:34Vikosi vya Yemen vimefyatua kombora la balestiki na kuangamiza makumi ya mamluki wa Saudi Arabia katika mkoa wa Taizz, kusini mashariki mwa nchi.
-
Yemen yashambulia kwa kombora kambi ya jeshi la Saudia
Jan 21, 2018 07:51Vikosi vya jeshi la Yemen vikishirikiana na harakati ya Ansarullah vimeshambulia kambi ya kijeshi ya Saudi Arabia katika eneo la Najran, kwa kombora la balestiki la masafa mafupi.
-
Answarullah yashambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, Saudia
Jan 17, 2018 08:17Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeushambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, kusini magharibi mwa Saudia ikiwa ni katika hatua ya ulipizaji kisasi kutokana na uvamizi wa Saudia na washirika wake dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
-
Saudia kununua mfumo wa makombora kutoka Israel
Jan 09, 2018 16:12Gazeti la moja la Uswisi limefichua mpango wa Saudi Arabia kutaka kununua mfumo wa ngao ya makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, katika hali ambayo ripoti zinasema tawala mbili hizo zipo mbioni kuimarisha uhusiano wao dhidi ya Iran.
-
Mashambulizi ya makombora ya Yemen yaitia kiwewe Saudi Arabia
Jan 07, 2018 02:43Viongozi wa serikali ya Riyadh Ijumaa usiku waliitisha kikao cha dharura cha Baraza la Masuala ya Kisiasa na Kiusalama baada ya shambulizi la makombora ya harakati ya Ansarullah lililolenga eneo la Najran huko kusini mwa Saudi Arabia.
-
Mji wa Riyadh washambuliwa tena kwa kombora la balestiki, sasa ni wizara ya ulinzi ya Saudia
Dec 30, 2017 07:44Duru za Yemen zimetangaza kuwa zimevurumisha kombora jengine la balestiki kupiga wizara ya ulinzi ya Saudi Arabia mjini Riyadh.
-
Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia
Dec 19, 2017 13:29Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefyatua kombora la balestiki kuilenga Kasri ya al-Yamamah, makazi rasmi ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia katika mji mkuu Riyadh.
-
Msaidizi maalumu wa Spika: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa
Dec 16, 2017 08:01Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema madai yaliyotolewa na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa.
-
Zarif: Marekani ni mshirika wa Saudia katika uhalifu wa kivita Yemen
Dec 16, 2017 03:45Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa Marekani ni mshirika wa Saudi Arabia katika uhalifu na jinai za kivita zinazofanyika nchini Yemen.