-
Sharti la Kufanya Mazungumzo Kuhusu Makombora ya Iran ni Kuangamizwa Makombora ya Masafa Marefu ya Marekani na Ulaya
Mar 03, 2018 12:52Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sharti la kufanya mazungumzo kuhusu makombora ya Iran ni kuangamizwa silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu ya Marekani na Ulaya.
-
Madai ya ovyo ya Marekani na kuzidi kuchanganyikiwa White House
Jan 31, 2018 03:58Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, serikali ya Donald Trump nchini Marekani imeongeza uadui wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden: Israel inayo makombora ya nyuklia
Jan 24, 2018 04:26Waziri Mkuu wa zamani wa Sweden Carl Bildt ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba: Israel inayo makombora ya kisasa ya balistiki yenye uwezo wa kinyuklia.
-
Kombora la Yemen laua mamluki 35 wa Saudia mkoani Taizz
Jan 23, 2018 04:04Vikosi vya Yemen vimefyatua kombora la balestiki na kuangamiza makumi ya mamluki wa Saudi Arabia katika mkoa wa Taizz, kusini mashariki mwa nchi.
-
Yemen yashambulia kwa kombora kambi ya jeshi la Saudia
Jan 21, 2018 04:21Vikosi vya jeshi la Yemen vikishirikiana na harakati ya Ansarullah vimeshambulia kambi ya kijeshi ya Saudi Arabia katika eneo la Najran, kwa kombora la balestiki la masafa mafupi.
-
Answarullah yashambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, Saudia
Jan 17, 2018 04:47Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeushambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, kusini magharibi mwa Saudia ikiwa ni katika hatua ya ulipizaji kisasi kutokana na uvamizi wa Saudia na washirika wake dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.
-
Saudia kununua mfumo wa makombora kutoka Israel
Jan 09, 2018 12:42Gazeti la moja la Uswisi limefichua mpango wa Saudi Arabia kutaka kununua mfumo wa ngao ya makombora kutoka utawala wa Kizayuni wa Israel, katika hali ambayo ripoti zinasema tawala mbili hizo zipo mbioni kuimarisha uhusiano wao dhidi ya Iran.
-
Mashambulizi ya makombora ya Yemen yaitia kiwewe Saudi Arabia
Jan 06, 2018 23:13Viongozi wa serikali ya Riyadh Ijumaa usiku waliitisha kikao cha dharura cha Baraza la Masuala ya Kisiasa na Kiusalama baada ya shambulizi la makombora ya harakati ya Ansarullah lililolenga eneo la Najran huko kusini mwa Saudi Arabia.
-
Mji wa Riyadh washambuliwa tena kwa kombora la balestiki, sasa ni wizara ya ulinzi ya Saudia
Dec 30, 2017 04:14Duru za Yemen zimetangaza kuwa zimevurumisha kombora jengine la balestiki kupiga wizara ya ulinzi ya Saudi Arabia mjini Riyadh.
-
Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia
Dec 19, 2017 09:59Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefyatua kombora la balestiki kuilenga Kasri ya al-Yamamah, makazi rasmi ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia katika mji mkuu Riyadh.