-
Msaidizi maalumu wa Spika: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa
Dec 16, 2017 04:31Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema madai yaliyotolewa na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa.
-
Zarif: Marekani ni mshirika wa Saudia katika uhalifu wa kivita Yemen
Dec 16, 2017 00:15Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa Marekani ni mshirika wa Saudi Arabia katika uhalifu na jinai za kivita zinazofanyika nchini Yemen.
-
UN: Kombora lililovurumishwa Riyadh Saudi Arabia si la Iran
Dec 15, 2017 00:47Naibu msemaji wa Umoja wa Mataifa usiku wa kuamkia leo amesisitiza kuwa, hakuna ushahidi wowote unaoweza kuthibitisha madai kwamba makombora yanayotumiwa na jeshi la Yemen kuipiga Saudi Arabia yanatoka nchini Iran.
-
Katibu Mkuu wa UN: Makombora yaliyoshambulia Saudia kutokea Yemen si ya Iran
Dec 12, 2017 12:53Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo haujaweza kuthibitisha kuwa makombora yaliyolenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh ni ya Iran.
-
Ansarullah Yemen: Kombora lililorushwa Abu-Dhabi; ni jibu kwa njama za Imarati
Dec 03, 2017 10:51Mwakilishi wa Kamati ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa kombora la Cruz lililorushwa huko Abu-Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu ni jibu kwa njama zinazofanywa na Imarati za kuviangamiza vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen.
-
Kombora jengine la balisitiki la Yemen latua ndani ya ardhi ya Saudia
Dec 01, 2017 01:11Jeshi la Yemen kwa ushirikiano na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah limefyatua kombora jengine la balisitiki la masafa ya kati na kulenga eneo la kijeshi ndani ya ardhi ya Saudia, likiwa ni kombora la pili kufyatuliwa na jeshi hilo ndani ya mwezi huu.
-
Answarullah: Miji mikuu ya nchi zinazoishambulia Yemen iko katika shabaha ya makombora yetu
Nov 09, 2017 11:29Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, miji mikuu ya nchi za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia, iko katika shabaha ya makombora ya jeshi la Yemen na harakati hiyo ya wananchi.
-
Kombora la balistiki la Yemen laulenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid mjini Riyadh, Saudia
Nov 05, 2017 04:37Kikosi cha makombora cha jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi jana usiku kilifyatua kombora la balistiki la masafa marefu aina ya Borkan H2 na kuulenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mfalme Khalid ulioko kwenye mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora
Oct 19, 2017 04:16Afisa wa ngazi za juu wa kijeshi nchini Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake mkubwa wa makombora.
-
Brigedia Jenerali Hajizadeh: Iran ina "baba wa mabomu yote"
Sep 16, 2017 03:47Kamanda ngazi za juu wa jeshi la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina "baba wa mabomu yote" na lenye nguvu kubwa zaidi kuliko yote yasiyo ya nyuklia duniani.