Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • UN: Kombora lililovurumishwa Riyadh Saudi Arabia si la Iran

    UN: Kombora lililovurumishwa Riyadh Saudi Arabia si la Iran

    Dec 15, 2017 04:17

    Naibu msemaji wa Umoja wa Mataifa usiku wa kuamkia leo amesisitiza kuwa, hakuna ushahidi wowote unaoweza kuthibitisha madai kwamba makombora yanayotumiwa na jeshi la Yemen kuipiga Saudi Arabia yanatoka nchini Iran.

  • Katibu Mkuu wa UN: Makombora yaliyoshambulia Saudia kutokea Yemen si ya Iran

    Katibu Mkuu wa UN: Makombora yaliyoshambulia Saudia kutokea Yemen si ya Iran

    Dec 12, 2017 16:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema umoja huo haujaweza kuthibitisha kuwa makombora yaliyolenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh ni ya Iran.

  • Ansarullah Yemen: Kombora lililorushwa Abu-Dhabi; ni jibu kwa njama za Imarati

    Ansarullah Yemen: Kombora lililorushwa Abu-Dhabi; ni jibu kwa njama za Imarati

    Dec 03, 2017 14:21

    Mwakilishi wa Kamati ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa kombora la Cruz lililorushwa huko Abu-Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu ni jibu kwa njama zinazofanywa na Imarati za kuviangamiza vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen.

  • Kombora jengine la balisitiki la Yemen latua ndani ya ardhi ya Saudia

    Kombora jengine la balisitiki la Yemen latua ndani ya ardhi ya Saudia

    Dec 01, 2017 04:41

    Jeshi la Yemen kwa ushirikiano na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah limefyatua kombora jengine la balisitiki la masafa ya kati na kulenga eneo la kijeshi ndani ya ardhi ya Saudia, likiwa ni kombora la pili kufyatuliwa na jeshi hilo ndani ya mwezi huu.

  • Answarullah: Miji mikuu ya nchi zinazoishambulia Yemen iko katika shabaha ya makombora yetu

    Answarullah: Miji mikuu ya nchi zinazoishambulia Yemen iko katika shabaha ya makombora yetu

    Nov 09, 2017 14:59

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, miji mikuu ya nchi za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia, iko katika shabaha ya makombora ya jeshi la Yemen na harakati hiyo ya wananchi.

  • Kombora la balistiki la Yemen laulenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid mjini Riyadh, Saudia

    Kombora la balistiki la Yemen laulenga uwanja wa ndege wa Mfalme Khalid mjini Riyadh, Saudia

    Nov 05, 2017 08:07

    Kikosi cha makombora cha jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi jana usiku kilifyatua kombora la balistiki la masafa marefu aina ya Borkan H2 na kuulenga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mfalme Khalid ulioko kwenye mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.

  • Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Oct 19, 2017 07:46

    Afisa wa ngazi za juu wa kijeshi nchini Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake mkubwa wa makombora.

  • Brigedia Jenerali Hajizadeh: Iran ina

    Brigedia Jenerali Hajizadeh: Iran ina "baba wa mabomu yote"

    Sep 16, 2017 08:17

    Kamanda ngazi za juu wa jeshi la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina "baba wa mabomu yote" na lenye nguvu kubwa zaidi kuliko yote yasiyo ya nyuklia duniani.

  • Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Aug 29, 2017 07:38

    Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.

  • Qassemi: Iran itaendeleza mipango yake ya makombora kwa nguvu zake zote

    Qassemi: Iran itaendeleza mipango yake ya makombora kwa nguvu zake zote

    Jul 30, 2017 03:05

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ina haki ya kutoa majibu mwafaka dhidi ya hatua ya Marekani na kwamba, itaendelea mbele na mipango yake ya makombora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS