-
Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia
Jul 27, 2017 04:43Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.
-
Iran yazindua utengenezaji wa kombora jipya la anga la Sayyad-3
Jul 22, 2017 16:52Uzalishaji wa kombora la anga la masafa marefu la Sayyad-3 umezinduliwa leo katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi hapa nchini.
-
Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini
Jul 04, 2017 08:15Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.
-
Uwezo wa kijeshi wa Iran ni wa kuridhisha
Jun 25, 2017 07:47Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh, Kamanda wa Jeshi la Anga za Karibu na Mbali la Walinzi wa Mapinduzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, SEPAH, amesema kuwa uwezo wa kijeshi wa hivi sasa wa Iran hauwezi kulinganishwa hata kidogo na wa kipindi cha vita vya miaka minene vya kujitetea kutakatifu na kuongeza kuwa hali hiyo ya kijeshi ni ya kuridhisha.
-
Kombora moja tu la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limewaangamiza Madaesh 50
Jun 20, 2017 03:13Duru katika medani za vita zimetangaza kuwa zaidi ya magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) waliangamizwa baada ya kombora moja kati ya sita ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kulenga kamandi ya kijeshi ya kundi hilo katika mji wa Al-Mayadin ulioko kwenye viunga vya Deir Ezzor mashariki mwa Syria.
-
Jenerali Dehqan: Tuna uwezo wa kuuza nje makombora na kuongeza kiwango cha uundaji silaha kwa asilimia 100
May 02, 2017 16:53Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema, mbali na Iran kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani ina uwezo pia wa kusafirisha na kuuza nje ya nchi makombora yanayoundwa hapa nchini.
-
Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege
Apr 15, 2017 14:00Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imekuwa muathirika wa hujuma ya kiuoga na kwa msingi huo haitachukua idhini kutoka kwa yeyote katika kuimarisha vikosi vyake vya ulinzi hasa uundaji wa makombora na ndege za kivita.
-
Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs
Apr 15, 2017 07:49Katika hali ambayo taharuki imetanda katika Peninsula ya Korea , serikali ya Korea Kaskazini imezindua kombora lake jipya la balestiki la nyambizi (SLBMs).
-
Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora
Mar 20, 2017 07:28Mtandao wa habari wa mybroadband umeripoti kuwa Afrika Kusini inataka kuiuzia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mfumo wa makombora ya ardhini hadi angani.
-
Iran yalifanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2
Mar 10, 2017 04:10Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo limefanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2.