Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kombora

  • Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura

    Aug 29, 2017 03:08

    Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.

  • Qassemi: Iran itaendeleza mipango yake ya makombora kwa nguvu zake zote

    Qassemi: Iran itaendeleza mipango yake ya makombora kwa nguvu zake zote

    Jul 29, 2017 22:35

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ina haki ya kutoa majibu mwafaka dhidi ya hatua ya Marekani na kwamba, itaendelea mbele na mipango yake ya makombora.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Jul 27, 2017 00:13

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.

  • Iran yazindua utengenezaji wa kombora jipya la anga la Sayyad-3

    Iran yazindua utengenezaji wa kombora jipya la anga la Sayyad-3

    Jul 22, 2017 12:22

    Uzalishaji wa kombora la anga la masafa marefu la Sayyad-3 umezinduliwa leo katika hafla iliyohudhuriwa na maafisa wa ngazi za juu wa jeshi hapa nchini.

  • Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Trump: Ni lazima China ichukue hatua kali dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 04, 2017 03:45

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Uchina kuchukua uamuzi mgumu kuhusiana na hatua ya Pyongyang ya kuvurumisha kombora jipya la balestiki mapema leo.

  • Uwezo wa kijeshi wa Iran ni wa kuridhisha

    Uwezo wa kijeshi wa Iran ni wa kuridhisha

    Jun 25, 2017 03:17

    Brigedia Jenerali Amir Ali Hajizadeh, Kamanda wa Jeshi la Anga za Karibu na Mbali la Walinzi wa Mapinduzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, SEPAH, amesema kuwa uwezo wa kijeshi wa hivi sasa wa Iran hauwezi kulinganishwa hata kidogo na wa kipindi cha vita vya miaka minene vya kujitetea kutakatifu na kuongeza kuwa hali hiyo ya kijeshi ni ya kuridhisha.

  • Kombora moja tu la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limewaangamiza Madaesh 50

    Kombora moja tu la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limewaangamiza Madaesh 50

    Jun 19, 2017 22:43

    Duru katika medani za vita zimetangaza kuwa zaidi ya magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) waliangamizwa baada ya kombora moja kati ya sita ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kulenga kamandi ya kijeshi ya kundi hilo katika mji wa Al-Mayadin ulioko kwenye viunga vya Deir Ezzor mashariki mwa Syria.

  • Jenerali Dehqan: Tuna uwezo wa kuuza nje makombora na kuongeza kiwango cha uundaji silaha kwa asilimia 100

    Jenerali Dehqan: Tuna uwezo wa kuuza nje makombora na kuongeza kiwango cha uundaji silaha kwa asilimia 100

    May 02, 2017 12:23

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema, mbali na Iran kujitosheleza kwa mahitaji ya ndani ina uwezo pia wa kusafirisha na kuuza nje ya nchi makombora yanayoundwa hapa nchini.

  • Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Apr 15, 2017 09:30

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imekuwa muathirika wa hujuma ya kiuoga na kwa msingi huo haitachukua idhini kutoka kwa yeyote katika kuimarisha vikosi vyake vya ulinzi hasa uundaji wa makombora na ndege za kivita.

  • Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs

    Korea Kaskazini yaonyesha kombora jipya la balestiki la SLBMs

    Apr 15, 2017 03:19

    Katika hali ambayo taharuki imetanda katika Peninsula ya Korea , serikali ya Korea Kaskazini imezindua kombora lake jipya la balestiki la nyambizi (SLBMs).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS