-
Afrika Kusini yapania kuiuzia Iran mfumo wa makombora
Mar 20, 2017 03:58Mtandao wa habari wa mybroadband umeripoti kuwa Afrika Kusini inataka kuiuzia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mfumo wa makombora ya ardhini hadi angani.
-
Iran yalifanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2
Mar 10, 2017 00:40Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo limefanyia majaribio kwa mafanikio kombora la balestiki la Hormuz-2.
-
Jeshi la Yemen lashambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya Wasaudia
Mar 09, 2017 04:30Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeshambulia kwa kombora la balestiki, eneo la mkusanyiko la askari vibaraka wa Saudia katika mji wa al-Makha katika mkoa wa Taiz nchini humo.
-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora
Jan 31, 2017 10:00Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani kuhusu kubadilisha kadhia ya makombora halali ya Iran kuwa mchezo wa kisiasa.
-
Jeshi la Iran lafanya mazoezi ya makombora
Mar 08, 2016 14:58Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran IRGC linafanya awamu ya mwisho ya mazoezo makubwa ya makombora ya kijihami.