-
Jeshi la Yemen lashambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya Wasaudia
Mar 09, 2017 08:00Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeshambulia kwa kombora la balestiki, eneo la mkusanyiko la askari vibaraka wa Saudia katika mji wa al-Makha katika mkoa wa Taiz nchini humo.
-
Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu makombora
Jan 31, 2017 13:30Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani kuhusu kubadilisha kadhia ya makombora halali ya Iran kuwa mchezo wa kisiasa.
-
Jeshi la Iran lafanya mazoezi ya makombora
Mar 08, 2016 18:28Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran IRGC linafanya awamu ya mwisho ya mazoezo makubwa ya makombora ya kijihami.