Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini: Sharti la kutoshambuliwa kisiwa cha Guam ni Marekani kusitisha chokochoko zake Korea

    Korea Kaskazini: Sharti la kutoshambuliwa kisiwa cha Guam ni Marekani kusitisha chokochoko zake Korea

    Aug 16, 2017 14:12

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema kuwa, sharti la kusitishwa mashambulizi ya makombora dhidi ya kisiwa cha Guam cha Marekani ni Washington kuhitimisha mivutano katika Peninsula ya Korea.

  • Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam

    Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam

    Aug 15, 2017 08:10

    Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya makombora dhidi ya kisiwa cha Guam kinachodhibitiwa na Marekani.

  • Korea Kaskazini: Njia pekee ya kuzuia vita katika eneo ni Seoul kuzuia chokochoko za Marekani

    Korea Kaskazini: Njia pekee ya kuzuia vita katika eneo ni Seoul kuzuia chokochoko za Marekani

    Aug 14, 2017 03:41

    Serikali ya Korea Kaskazini imekosoa mazungumzo ya simu ya Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini na Rais Donald Trump wa Marekani yaliyofanyika hivi karibuni na kusema kuwa mazungumzo hayo hayawezi kusaidia kumaliza mgogoro uliopo.

  • Onyo la China juu ya uwezekano wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini

    Onyo la China juu ya uwezekano wa Marekani kuishambulia Korea Kaskazini

    Aug 14, 2017 03:33

    Gazeti moja muhimu la chama tawala nchini China limeionya Marekani na Korea Kusini juu ya vitisho vyao vya kutaka kuishambulia kijeshi Korea Kaskazini na kusema kuwa, ikiwa maslahi ya China yataingia hatarini kwa vita hivyo tarajiwa, basi bila shaka yoyote nayo itakabiliana na nchi hizo.

  • Mamilioni ya wapiganaji wa kujitolea Korea Kaskazini wajiweka tayari kupambana na Marekani

    Mamilioni ya wapiganaji wa kujitolea Korea Kaskazini wajiweka tayari kupambana na Marekani

    Aug 13, 2017 03:48

    Vyombo vya habari nchini Korea Kaskazini vimeripoti kwamba karibu watu milioni 3.5 wa kujitolea wametangaza utayarifu wao kwa ajili ya kupambana na Marekani vitani.

  • Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Indhari ya Ujerumani na Russia kuhusu hatari ya kutokea vita kati ya Marekani na Korea Kaskazini

    Aug 12, 2017 13:32

    Kuongezeka mivutano na kutoleana kauli za vitisho viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kumeitia wasiwasi mkubwa jamii ya kimataifa juu ya uwezekano wa kutokea vita katika eneo la Mashariki mwa Asia.

  • "Trump amewasaliti Wamarekani kwa kutafuta vita na Iran, Korea Kaskazini"

    Aug 03, 2017 07:43

    Mbunge wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekiuka ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za urais kwamba akiingia madarakani hataitumbukzia tena nchi hiyo katika vita.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani isitumie njia ya kijeshi na vikwazo dhidi yake

    Korea Kaskazini yaionya Marekani isitumie njia ya kijeshi na vikwazo dhidi yake

    Jul 31, 2017 07:33

    Serikali ya Korea Kaskazini imeionya Marekani isitumie njia za vikwazo zaidi wala za kijeshi dhidi ya Pyongyang.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Korea Kaskazini yaionya Marekani, yasema itaishambulia kwa nyuklia

    Jul 27, 2017 04:43

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Marekani itafanya kosa kuishambulia kwa nyuklia, basi itapata jibu kama hilo.

  • Korea Kaskazini: Kutokuwa na umuhimu Marekani kuwapiga marufuku raia wake kuja kwetu

    Korea Kaskazini: Kutokuwa na umuhimu Marekani kuwapiga marufuku raia wake kuja kwetu

    Jul 26, 2017 03:36

    Shirika la ustawi wa kieneo la Wonsan Zone Development Corporation la Korea Kaskazini limetangaza kuwa, marufuku iliyotangazwa na Marekani ya kuwazuia raia wake kufanya safari nchini humo, haitakuwa na taathira yoyote kwenye sekta ya utalii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS