Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta

    Korea Kaskazini: Wabunge wa Korea Kusini waliotunyooshea kidole, watajuta

    Jul 23, 2017 02:49

    Serikali ya Korea Kaskazini imewatahadharisha wabunge wa Korea Kusini kutokana na hatua yao ya kutoa taarifa ya kulaani majaribio ya hivi karibuni ya kombora yaliyofanywa na Pyongyang, na kusema kuwa, wabunge hao watajutia hatua hiyo.

  • Korea Kaskazini: Matumaini ya Korea Kusini ya kuboreka mahusiano yetu kwa mashinikizo ni upuuzi

    Korea Kaskazini: Matumaini ya Korea Kusini ya kuboreka mahusiano yetu kwa mashinikizo ni upuuzi

    Jul 21, 2017 03:38

    Siku moja baada ya Korea Kusini kutoa pendekezo kwa ajili ya kufikiwa makubaliano na Korea Kaskazini, serikali ya Pyongyang imesema kuwa, matumaini ya Seoul juu ya kuboreka mahusiano ya pande mbili kupitia mashinikizo ni suala la 'kipuuzi.'

  • Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati

    Japan: Suala la kuzunguza na Korea Kaskazini limepitwa na wakati

    Jul 19, 2017 02:27

    Msemaji wa serikali ya Japan, Norio Maruyama ametaka kuzidishwa mashinikizo dhidi ya Korea Kaskazini akisema kuwa muda wa kufanya mazungumzo na nchi hiyo umepita.

  • Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini

    Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini

    Jul 18, 2017 17:35

    Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni vya kijinga.

  • Korea Kusini yaipa Pyongyang pendekezo la kufanya mazungumzo mwezi huu ili kupunguza mzozo

    Korea Kusini yaipa Pyongyang pendekezo la kufanya mazungumzo mwezi huu ili kupunguza mzozo

    Jul 17, 2017 17:06

    Serikali ya Korea Kusini imetoa pendekezo la kufanya mazungumzo na Pyongyang kwa ajili ya kumaliza mzozo wa kimipaka ndani ya mwezi huu.

  • Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali ikiwa Baraza la Usalama la UN litapitisha vikwazo vipya dhidi yetu

    Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali ikiwa Baraza la Usalama la UN litapitisha vikwazo vipya dhidi yetu

    Jul 15, 2017 07:05

    Serikali ya Korea Kaskazini imetangaza kuwa, ikiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litapitisha vikwazo vipya dhidi yake, basi itachukua hatua za lazima kukabiliana na hali hiyo.

  • Wakorea Kusini: Tutaendeleza maandamano hadi US iondoe ngao yake nchini kwetu

    Wakorea Kusini: Tutaendeleza maandamano hadi US iondoe ngao yake nchini kwetu

    Jul 14, 2017 14:26

    Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa kwanza wa makubaliano kati ya Korea Kusini na Marekani kwa ajili ya kuwekwa ngao ya makombora ya Marekani aina ya THAAD nchini humo, raia wa Korea Kusini wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali wakipinga mpango huo.

  • Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea

    Japan: Tutaishawishi Russia isaidie katika kutatua mgogoro wa eneo la Korea

    Jul 11, 2017 08:02

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Japan, Norio Maruyama amesema kuwa, Tokyo na washirika wake wataishawishi Russia ili iweze kushiriki katika kutatuliwa mgogoro wa eneo la Korea.

  • Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini

    Korea Kusini sasa yaomba mazungumzo na Korea Kaskazini

    Jul 08, 2017 07:25

    Huku mgogoro wa Peninsula ya Korea ukiendelea kutokota kufuatia vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba atatumia nguvu za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini, Korea Kusini sasa imetaka mazungumzo yafanyike kutatua mgogoro uliopo.

  • China na Russia zapinga utumiwaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

    China na Russia zapinga utumiwaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

    Jul 06, 2017 04:22

    China na Russia zimetangaza kupinga utumiaji njia za kijeshi dhidi ya Korea Kaskazini

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS