Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Ukraine yavunja uhusiano na Korea Kaskazini kwa kuyatambua maeneo yaliyojitenga na nchi hiyo

    Ukraine yavunja uhusiano na Korea Kaskazini kwa kuyatambua maeneo yaliyojitenga na nchi hiyo

    Jul 14, 2022 07:26

    Ukraine imevunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Korea Kaskazini baada ya Pyongyang kuyatambua maeneo mawili ya mashariki ya Ukraine ya Donetsk na Luhansk yaliyojitenga na Kyiv na kujitangaza Jamhuri huru zinazojitawala.

  • Korea Kaskazini yafyatua makombora 8 sambamba na kumalizika mazoezi ya kijeshi ya US na Korea Kusini

    Korea Kaskazini yafyatua makombora 8 sambamba na kumalizika mazoezi ya kijeshi ya US na Korea Kusini

    Jun 05, 2022 08:05

    Korea Kaskazini imeyafanyia majaribio makombora manane ya balestiki ya masafa mafupi kuelekea baharini katika upande wa pwani yake ya mashariki, siku moja tu baada ya jirani yake Korea Kusini na Marekani kukamilisha mazoezi yao ya pamoja ya kijeshi katika Bahari ya Ufilipino.

  • Marekani: Kiongozi wa Korea Kaskazini hana hamu yoyote ya kukutana na Biden

    Marekani: Kiongozi wa Korea Kaskazini hana hamu yoyote ya kukutana na Biden

    May 20, 2022 07:35

    Jake Sullivan, mshauri wa usalama wa taifa wa serikali ya Marekani amesema, Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ambaye hapo kabla aliwahi kukutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, hajaonyesha hamu yoyote ya kukutana na rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden.

  • Korea Kaskazini yafanyia jaribio kombora kabla ya Biden kuwasili Seoul

    Korea Kaskazini yafanyia jaribio kombora kabla ya Biden kuwasili Seoul

    May 08, 2022 04:27

    Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora la pili la balistiki siku chache tu kabla ya Rais Joe Biden wa Marekani kutembelea nchi jirani ya Korea Kusini.

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara

    Mar 24, 2022 13:19

    Korea Kusini na Japan zimesema, Korea Kaskazini imefanyia majaribio kile kinachoshukiwa kuwa ni kombora lake kubwa kabisa la balestiki linalovuka mabara.

  • Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Jan 06, 2022 02:49

    Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.

  • Korea Kaskazini yavurumisha baharini kombora jingine la balestiki

    Korea Kaskazini yavurumisha baharini kombora jingine la balestiki

    Oct 19, 2021 13:24

    Kwa mara nyingine tena, jeshi la Korea Kaskazini limevurumisha baharini kombora jingine la balestiki katika pwani ya mashariki ya nchi hiyo.

  • Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Marekani: Tuko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote

    Oct 05, 2021 10:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema kuwa, nchi yake iko tayari kufanya mazungumzo na Korea Kaskazini bila ya masharti yoyote yale.

  • Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Sep 29, 2021 13:00

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa imefanikiwa kurusha kombora jengine la balestiki aina ya hypersonic liitwalo Hwasong-8.

  • Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Sep 20, 2021 10:14

    Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS