Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Korea Kaskazini yasema imefanyia majaribio kombora jipya la balestiki la Hypersonic

    Sep 29, 2021 09:30

    Korea Kaskazini imetangaza kuwa imefanikiwa kurusha kombora jengine la balestiki aina ya hypersonic liitwalo Hwasong-8.

  • Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Korea Kaskazini yazionya US, UK na Australia kuhusu makubaliano yao ya nyambizi ya nyuklia

    Sep 20, 2021 05:44

    Korea Kaskazini imesema makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya nchi tatu za Marekani, Uingereza na Australia ni hatua hatari sana.

  • Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani

    Kim ataka Korea Kaskazini ijiandae kwa makabiliano na Marekani

    Jun 19, 2021 00:34

    Kiongozi wa Korea Kaskazini amesema nchi hiyo inakaribisha mpango wowote wa kufanyika mazungumzo mapya baina yake na Marekani, lakini kamwe haiweza kuondoa mezani chaguo la vita.

  • Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Korea ya Kaskazini yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Magharibi

    Mar 23, 2021 03:10

    Korea ya Kaskazini imezikosoa nchi za Magharibi kwa kukiuka haki za binadamu na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kuchukua hatua ya kulipatia ufumbuzi tatizo hilo.

  • Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Msimamo wa kukinzana wa Marekani kuhusu mgogoro wa nyuklia wa Korea

    Aug 28, 2020 05:42

    Takriban ni miongo 7 sasa ambapo Marekani ina wanajeshi wake katika Rasi ya Korea. Licha ya kufanyika mazungumzo mara kadhaa baina ya viongozi wa Marekani na Korea Kaskazini kuhusu kupokonywa silaha za nyuklia Pyongyang lakini mgogoro wa Korea mbili bado uko vile vile. Si hayo tu lakini rais wa Marekani, Donald Trump hivi sasa anataka kupunguzwa idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Korea Kusini, suala ambalo limezusha mzozo mpya.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini akabidhi baadhi ya mamlaka kwa dada yake

    Kiongozi wa Korea Kaskazini akabidhi baadhi ya mamlaka kwa dada yake

    Aug 21, 2020 03:18

    Duru za Intelijensia za Korea Kusini zimeripoti kuwa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amekabdihi baadhi ya mamlaka yake kwa dada yake Kim Yo-jong.

  • Rouhani: Iran itasimama kidete zaidi dhidi ya ubeberu wa Marekani

    Rouhani: Iran itasimama kidete zaidi dhidi ya ubeberu wa Marekani

    Jun 25, 2020 03:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litasimama kidete zaidi kukabiliana na sera za kibeberu za Marekani hata kuliko huko nyuma.

  • Waziri wa Umoja Korea Kusini ajiuzulu huku mgogoro na Korea Kaskazini ukishadidi

    Waziri wa Umoja Korea Kusini ajiuzulu huku mgogoro na Korea Kaskazini ukishadidi

    Jun 18, 2020 22:04

    Kufuatia kushadidi mgogoro baina ya Korea Kusini na Korea Kaskazini, Waziri wa Umoja wa Korea Kusini amejiuzulu. Wizara ya Umoja wa Korea Kusini hushughulikia jitihada za kujaribu kuziunganisha tena nchi hizo mbili.

  • Mvutano usio wa kawaida katika Rasi ya Korea

    Mvutano usio wa kawaida katika Rasi ya Korea

    Jun 17, 2020 02:46

    Kufuatia kuongezeka mvutano kati ya Korea mbili, Korea Kaskazini imelipua ofisi ya masuala ya kiutamaduni iliyoanzishwa kwa ajili ya kuimarisha mawasiliano ya nchi mbili katika eneo la viwanda la Kaye Sung.

  • Hofu ya vita baina ya Korea Kaskazini na Korea Kusini

    Hofu ya vita baina ya Korea Kaskazini na Korea Kusini

    Jun 16, 2020 22:13

    Kumeibuka hofu kubwa ya vita baina ya Korea Kaskaizni na Korea Kusini baada ya wakuu wa Pyongyang kulipua kwa hasira ofisi ya mawasiliano baina ya Korea mbili iliyopo katika eneo la Kaesong.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS