Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)

    Waislamu kote dunia wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti wa Mtume Muhammad (saw), Fatima (as)

    Mar 02, 2017 01:21

    Waislamu duniani hususan wafuasi wa wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) leo wanaomboleza siku ya kufa shahidi binti kipenzi wa Mtume Muhammad (saw) Bibi Fatima Zahra (as) aliyeaga dunia katika siku kama hii ya leo tarehe 3 Jamadithani mwaka wa 11 Hijria.

  • Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen

    Mashambulio ya Saudia yaua wanafunzi wanane katika mji mkuu wa Yemen

    Jan 10, 2017 12:58

    Wanafunzi wanane wameuliwa shahidi katika mashambulio mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia katika mji mkuu wa Yemen Sanaá.

  • Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi kijana Mpalestina huko Ramallah

    Dec 18, 2016 04:06

    Kijana mmoja Mpalestina ameuawa shahidi katika hujuma ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Wazayuni wamuua shahidi kijana Mpalestina Quds Tukufu

    Sep 05, 2016 02:56

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika Quds Tukufu (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na kumuua shahidi kijana Mpalestina.

  • Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil

    Wapalestina wengine watatu wauliwa shahidi Al-Khalil

    Mar 14, 2016 12:49

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana watatu wa Kipalestina karibu na mji wa Al-Khalil katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Tangu Oktoba, askari wa Israel wameshawaua shahidi Wapalestina 200

    Tangu Oktoba, askari wa Israel wameshawaua shahidi Wapalestina 200

    Mar 10, 2016 13:09

    Asksari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 200 tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwezi Oktoba mwaka jana hadi hivi sasa.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS