• UN yakosoa takwa la kuondolewa Assad madarakani

    UN yakosoa takwa la kuondolewa Assad madarakani

    Feb 08, 2016 05:53

    Kamati ya Kimataifa inayofanya uhakiki kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Syria imetangaza kuwa, msimamo unaosisitiza juu ya udharura wa kuondoka madarakani Rais Bashar Assad kabla ya kuanza mazungumzo ya amani, ni kizuizi katika njia ya kupambana na ugaidi.