• Kuafiki Syria mpango wa usitishaji vita

    Kuafiki Syria mpango wa usitishaji vita

    Feb 24, 2016 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa rasmi na kueleza kwamba serikali ya Damascus inaukubali na itautekeleza mpango wa usitishaji vita uliotangazwa na Marekani na Russia.