Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limechapisha makala inayomkosoa vikali Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kueleza kuwa, mwanasiasa huyo ni kirusi hatari mno.
Atallah Hanna, Askafu Mkuu wa Kanisa la Orthodox katika mji wa Baitul-Muqaddas, amesisitiza kwamba mradi wa utawala haramu wa Israel wa kuuyahudisha mji wa Quds, ni jinai kubwa.
Umoja wa Ulaya umejiunga na Umoja wa Mataifa katika kulaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupora ardhi zaidi za Wapalestina.