Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Vita vya Siku 33; mabadiliko muhimu na makubwa kwa Muqawama katika muundo wa kisiasa na kiusalama Asia Magharibi

    Vita vya Siku 33; mabadiliko muhimu na makubwa kwa Muqawama katika muundo wa kisiasa na kiusalama Asia Magharibi

    Jul 15, 2022 08:49

    Miaka 16 imepita tangu vilipopiganwa vita vya mwaka 2006 vilivyoanzishwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon.

  • Rais wa Lebanon: Karibu tutafikia mwafaka na Israel juu ya uainishaji mipaka ya baharini

    Rais wa Lebanon: Karibu tutafikia mwafaka na Israel juu ya uainishaji mipaka ya baharini

    Jul 07, 2022 11:24

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa, karibuni hivi suala la uanishaji mipaka ya baharini baina ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni wa Israel litapatiwa ufumbuzi na kwamba njia hiyo ya utatuzi wa mzozo huo itaridhiwa na pande zote.

  • Changamoto kuu zinazomkabili Najib Miqati katika kuunda serikali mpya ya Lebanon

    Changamoto kuu zinazomkabili Najib Miqati katika kuunda serikali mpya ya Lebanon

    Jun 30, 2022 02:16

    Tangu siku ya Alkhamisi ya tarehe 23 Juni, Rais Michel Aoun wa Lebanon alimkabidhi Najib Miqati, mfanyabiashara mkubwa anayetokea mji wa Tripoli na mwenye umri wa miaka 66, jukumu la kuunda serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Najib Miqati: Serikali ijayo ya Lebanon itatatua suala la mipaka na umeme

    Najib Miqati: Serikali ijayo ya Lebanon itatatua suala la mipaka na umeme

    Jun 29, 2022 07:44

    Waziri Mkuu wa Lebanon aliyechaguliwa kwa mara ya nne katika wadhifa huo na kupewa jukumu la kuunda baraza la mawaziri amesema kuwa, serikali mpya ya nchi hiyo italipatia ufumbuzi suala la kuianisha mipaka ya baharini kati ya nchi hiyo na utawala wa Kizayuni na kadhia ya umeme.

  • Hatua ya Israel kupora nishati ya Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Hatua ya Israel kupora nishati ya Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrallah

    Jun 11, 2022 10:14

    Sayyid Hassan Nasrallah, ametoa hutuba kuhusu hatua ya utawala wa Kizayuni ya kupora utajiri wa nishati ya Lebanon ambapo amebainisha nukta kadhaa kuhusu kadhia hiyo.

  • Nabih Berri: Hatutanyamazia kimya uvamizi wa Israel dhidi ya mamlaka ya majini ya Lebanon

    Nabih Berri: Hatutanyamazia kimya uvamizi wa Israel dhidi ya mamlaka ya majini ya Lebanon

    Jun 06, 2022 10:05

    Spika wa Bunge la Lebanon ameashiria hujuma ya utawala haramu wa kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya baharini ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Bahari ya Mediterania na kusisitiza kuwa, katuu Lerbanon haiwezi kunyamazia kimya hatua na hujuma hizo.

  • Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Jun 03, 2022 02:41

    Kikao cha kwanza cha bunge la Lebanon kimefanyika kwa kuchaguliwa Spika na Naibu Spika wa bunge hilo.

  • Afisa usalama wa Saudia akutwa na kilo 18 za vidonge vya kulevya uwanja wa ndege wa Beirut, Lebanon

    Afisa usalama wa Saudia akutwa na kilo 18 za vidonge vya kulevya uwanja wa ndege wa Beirut, Lebanon

    May 31, 2022 03:11

    Afisa mmoja wa usalama wa Saudi Arabia amekutwa na kilo 18 za vidonge vya kulevya aina ya captagon katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Beirut, Lebanon.

  • Hujjatul Islam Kazem Seddiqi : Muqawama wa Lebanon ulivunja pembe ya Wamarekani

    Hujjatul Islam Kazem Seddiqi : Muqawama wa Lebanon ulivunja pembe ya Wamarekani

    May 27, 2022 11:10

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ametoa pongezi kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 22 ya ushindi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon dhidi Wazayuni na kusema, Wazayuni walionja ladha chungu ya kwanza ya kushindwa baada ya kuondoka kwa madhila huko kusini mwa Lebanon.

  • Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    Tathmini ya uchaguzi wa Lebanon kwa mtazamo wa Sayyid Hassan Nasrullah

    May 20, 2022 09:08

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha nchini Lebanon, juzi usiku alitoa hutuba akibainisha tathmini yake kuhusu matokeo ya uchaguzi wa hivi karibu wa bunge la nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS