-
Arubaini ya Sheikh Nimr yaadhimishwa kwa maandamano
Feb 12, 2016 04:46Arubaini ya Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni wa Kiislamu aliyeuawa shahidi na utawala wa Aal-Saud imeadhimishwa kwa maandamano ya maelfu ya watu nchini Saudi Arabia na Bahrain.
-
Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2016 04:18Mamilioni ya wananchi wa Iran leo wamemiminika mabarabarani katika miji mbalimbali ukiwemo mji mkuu Tehran, kushiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 37 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.