-
Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2016 04:18Mamilioni ya wananchi wa Iran leo wamemiminika mabarabarani katika miji mbalimbali ukiwemo mji mkuu Tehran, kushiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 37 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.