• Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Iran yaadhimisha miaka 37 ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 11, 2016 04:18

    Mamilioni ya wananchi wa Iran leo wamemiminika mabarabarani katika miji mbalimbali ukiwemo mji mkuu Tehran, kushiriki maandamano ya kuadhimisha miaka 37 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.