-
Wakazi wa Al Mahrah, Yemen wapambana vikali na vibaraka wa Saudia
Mar 13, 2019 10:20Watu wa makabila ya mkoa wa Al Mahrah nchini Yemen, wamepambana vikali na msafara wa malori yaliyobeba zana za kijeshi za Saudi Arabia.
-
UN yapeleka Yemen dawa ambazo muda wake wa matumizi umepita kutibu wagonjwa wa kipindupindu
Aug 06, 2017 23:14Mwakilishi wa Wizara ya Afya ya Yemen amesema, kwa mujibu wa taarifa za kuaminika, Umoja wa Mataifa unaepeleka nchini humo dawa ambazo muda wake wa matumizi umepita ili kutibu wagonjwa wa kipindupindu.
-
Kuendelea mashambulizi dhidi ya Yemen na uwezekano mdogo wa kufanyika mazungumzo ya amani
Feb 05, 2016 03:41Huku mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen yakipamba moto, Saudi Arabia imeendelea kukwamisha juhudi za kidiplomasia za kuutatua kisiasa mgogoro huo, suala ambalo limewafanya wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa kusema kuwa, ni jambo lililo mbali kufikiria kufanyika mazungumzo hayo katika siku za hivi karibuni.