-
IAEA: Kuna uwezekano magaidi watatumia silaha za nyuklia
Mar 26, 2016 03:47Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetadharisha juu ya uwezekano wa makundi ya kigaidi kutumia silaha hatari za nyuklia katika harakati zao.
Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetadharisha juu ya uwezekano wa makundi ya kigaidi kutumia silaha hatari za nyuklia katika harakati zao.