-
Rouhani: Makubaliano ya nyuklia ni tukio litakalokumbukwa katika historia ya Iran na Dunia
Mar 27, 2016 22:31Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ni tukio litakalosalia katika historia ya Iran na dunia.
-
IAEA: Kuna uwezekano magaidi watatumia silaha za nyuklia
Mar 26, 2016 03:47Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetadharisha juu ya uwezekano wa makundi ya kigaidi kutumia silaha hatari za nyuklia katika harakati zao.