-
Watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula Malawi
May 26, 2016 04:26Serikali ya Malawi imesema kuwa, zaidi ya watu milioni 8 wanahitajia msaada wa chakula nchni humo.
-
Watu wenye ulemavu wa ngozi Malawi katika hatari ya kuangamizwa kikamilifu
May 01, 2016 14:26Watu wenye ulemavu wa ngozi au albino nchini Malawi wanakabiliwa na hatari ya kuangamizwa kikamilifu kutokana na kuongezeka vitendo vya hujuma dhidi yao nchini humo.